Niko Mwanza kukupatia nyumba na magari.

Niko Mwanza kukupatia nyumba na magari.

MIMI NA TZ

Senior Member
Joined
Apr 22, 2014
Posts
197
Reaction score
18
Kama unahitaji nyumba au magari hapa jijini mwanza tuwasiliane kwa 0788752672 Nina magari kuanzia milioni 3 hadi milioni 15 nina nyumba za kuanzi milioni 5 hadi milioni 150
Tuwasiliane sasa 0788752672
 
Ni aina gani ya gari ya 3m, na ya mwaka gani..
Nyumba ya 5m ipo eneo gani la jiji la mwanza.. inaeneo la kutosha, haina migogoro ya kisheria ama kifamilia..
 
Kama unahitaji nyumba au magari hapa jijini mwanza tuwasiliane kwa 0788752672 Nina magari kuanzia milioni 3 hadi milioni 15 nina nyumba za kuanzi milioni 5 hadi milioni 150
Tuwasiliane sasa 0788752672
nipo nyegezi hapa, nitakutafuta.
 
tuwekee namba yako ya voda M pesa p'se. We wan pay cash.
 
Aisee! Nyumba ya milioni tano mwanza? Labda igogo au shede
 
Ni aina gani ya gari ya 3m, na ya mwaka gani..
Nyumba ya 5m ipo eneo gani la jiji la mwanza.. inaeneo la kutosha, haina migogoro ya kisheria ama kifamilia..

ImageUploadedByJamiiForums1408907085.036723.jpg
Nyumba ipo nyanshana jeshini iko vizuri na haina tatizo lolote
 
Wengi wamenitafuta na nimewauzia nyumba na wengine wako huku JF Kama we ni mhitaji wa nyumba au gari tuwasiliane kwa 0788752672 taratibu zote zitazingatia Asante
 
Mmmh ck hz nimeanza kuwa mwenyeji wa mwanza kila wkend np huko, nakutafuta mkuu
 
ni PM namba yako ya voda. Acha bwabwaja..
 
Hili ni shamba kubwa la heka tano lipo hapa kishiri jijini mwanza bei ya kuanzia ni milioni 15 tuwasiliane kwa 0788752672
ImageUploadedByJamiiForums1408911641.287048.jpg


Mungu wangu nibariki bila wewe Mimi si kitu kamwe
 
Katika Facebook napatikana katika mwanza community market jiunge nami Leo,Instagram jina nalo tumia ni Mimi na Tanzania,OLX Napatikana pamoja na zoomtanzania wengi wamejipatia nyumba na magari hapa jijini mwanza tuwasiliane kwa 0788752672 au whatsup 0788752672


Mungu wangu nibariki bila wewe Mimi si kitu kamwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom