Recent content by Leonard Qamunga

  1. L

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Kweli ukipita hapa usipopata kitakachokuchekesha basi ww utakuwa cyo wa kawaida !! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  2. L

    Mtoto genius aendesha ndege na kuwashauri marubani, upande wa Tanzània genius ni yule mtaja majina ya kina Makonda, aibu

    Afu huyu anaongea tuu. Kuna watoto wapo vzr kama yule mtoto wa simanjiro ana miaka minne anapiga hesabu ni balaa anafundisha hadi form four hesabu sema ww unataka awe na kipaji gani , sasa huyu eti anang'ang'ania eti watoto wa kibongo wanataja majina tuu acha uboyaaa
  3. L

    Kukua kwa Lugha,tuwe makini tunapotumia maneno haya

    Sasa hao ukikutana nao ndo wanao.... Kumbe Unapenda kukutana na afande , hahahahaha
  4. L

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ----------------------------------
  5. L

    Mwanafunzi Humphrey Makundi aliyeripotiwa kupotea, apatikana akiwa amefariki na kuzikwa

    Manispaa haiwezi kuzika bila kupata kibali cha polisi coz taarifa za kupotea au kifo cha kuuawa vifo venye utata lazima zitolewe taarifa polisi na kuzika kwake km mtu hajafahamika Kuna muda ukifika manispaa wanaenda kuomba kibali cha kuzika polisi ili endapo kama Kuna taarifa zozote za...
  6. L

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Tiyari zimetoka leo
  7. L

    Picha ya Kwanza ya Dogo Janja na Irene Uwoya

    Hapo ndo umeongea Mkuu nimekuelewa kidogo ww
  8. L

    Sakata la Ndege iliyokamatwa Canada: Tundu Lissu akamatwa na Polisi kwa kumkashifu Rais. Anyimwa dhamana

    Peleka segerea huyooo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    Anajidanganya huyo , hakuna fidia ya hivyo. Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
  10. L

    Murder Or suicide?

    Ni murder.. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    Hivi Rais wetu akiachia ngazi leo, tunaweza kumshitaki kwa kosa lipi tangu aingie madarakani?

    Unashindwa kuuliza tunaweza kumkumbuma kwa kitu gan alichofanya eti unauliza atashyakiwa kwa kitu gani? Kwani alichaguliwa ili akiachia ngazi ashtakiwe ? Uliza swali lenye tija kama vp tujadili hata swala alilolisema la kuwa hawezi kisomesha wazazi!
Back
Top Bottom