the galaxy a
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 183
- 110
ni mwz wa tano mwakan hiviMwezi wa ngapi wanachukua?
ni mwz wa tano mwakan hiviMwezi wa ngapi wanachukua?
Haina mbaya, hata ikiwa 2019 mwezi wa 10 ilimradi wachukue vijana.ni mwz wa tano mwakan hivi
bora ww umesema ukweli.... maisha sio lazima jeshini tumeumbwa kufanya mengi jaman tubadilikeTafuteni kazi nyingine
form zp tenaTarehe ya mwisho kurudisha hizi form ni lini?
Nafasi za jkt tayari zmetangazwa leoJaman wadau vipi hizo nafasi ndo zmekuwa adim au Mwaka Huu hazitoki...!!
Nafasi za jkt tayari zmetangazwa leo
Kwaiyo mchana nilipoandika hiyo hamkuamini?kweli kurutu haamini hadi aone damu.Tarehe ya mwisho kurudisha hizi form ni lini?