mkuu naona umepost..halafu ukajijibu kwa fake id..isiyo na hata post noja wala maelezo yoyote...Kabla ya yote inabidi kuangalia haya kwanza:
Kwa hiyo mtu huyo kauawa. it is murder - conducted professionally.
- Picha inaonesha tukio lilitokea usiku =angalia mwanga kwenye dirisha, -victim alikua anasoma au anaandika na kamulika kwa kwa kutumia Desk Light
- Kandambili inayoonekana ni moja tu.... -inaonesha kulikuwa na purukushani na kandambili moja ikaelekea kusikojulikana.
- kalamu iliyo juu ya karatasi, ash tray na kopo la kinywaji vipo upande wa kushoto, inaonesha victim ni left handed- anatumia mkono wa kushoto, kwa hiyo asingeweza kutumia mkono wa kulia kujipiga risasi upande wa kushoto
- bastola iko mkono wa kulia. -haiwezekani mtu ajipige risasi upande wa kushoto wa kichwa na risasi hiyo ipenye na itokeze upande wa kulia wa kichwa.
- cable ya desk light imechomolewa. Wakati victim alikua anatumia taa kusoma au kuandima mezani- purukushani ilisababisha kuchomoka kwa cable na kawaida victim asingeweza kuandika suicide note gizani
- kuna umbali wa takribani mita moja toka mwili wa victim na sehemu risasi ilipotokea. -Nani kausogeza? hakuna kiashirio chochote kuwa victim alianza kutapatapa baada ya risasi kupenya kichwani kwake
- Sigara ikiwa mkononi na Bastola mkononi -sigara haiwaki imezima, kama ingekuwa imewashwa victim alipojilipua ingeendelea kuwaka maana iko mkononi hadi ingeisha na kuzima. inaonesha sigara ilizimwa na kupachikwa kwenye mwili wa victim baada ya kufa, tena hata bastola iliwekwa tu mkononi -mkono usioshabihiana na sehemu ya jeraha.
- mlalo wa kiti na mwili.- Mwelekeo wa kiti ni tofauti na uelekeo wa mwili wa victim.
- Victim haoneshi kuwa na dhamira ya kujiua, -kavaa mavazi ya usiku, alikuwa na nia ya kupitia some stuff kabla hajalala.
- Ganda la risasi liko wapi? inaonesha liko mbali na mwili, kinyume na uhalisia wa kujifyatulia risasi. uwepo wa ganda la risasi ungesaidia kufahamu aina ya silaha iliyotumika, umbali na position ya mfyatuaji.
kutoka alipokuwa kama angekuwa amejiua alitakiwa awe ametumia mkono wa kushoto kujilipua ili damu ionekane upande wa pili wake kulia unless wkt anajishoot aligeuka kulipa dirisha mgongo ndo akatumia mkono wa kuliasuicide
She finished writing her will/note... smoke a bit and shot her fookin' head
Bullet must come from inside and splash to the glass window
She also bleeds/drips from her left ear (not busted) from that ear
In addition, she felt on the right side, supporting laws za physics, hata stuli inasapoti
kajiua au kashikishwa gun kujilipua
labda tujiulize... why kuna chupa ya shampeni na hakuna glasi?
utajuaje wkt utakuwa ushakufa?Swali dogo....hivi ukijipiga risasi ya kichwa bado utaendelea kuishika bastola mkononi????
Murder
his or her soul can tell.utajuaje wkt utakuwa ushakufa?
Post sent using JamiiForums mobile app
Both of 'em
utajuaje wkt utakuwa ushakufa?
Post sent using JamiiForums mobile app
Mi sikuwepo wakati wa tukio bana,
Mkuu unaangalia sana movieKabla ya yote inabidi kuangalia haya kwanza:
Kwa hiyo mtu huyo kauawa. it is murder - conducted professionally.
- Picha inaonesha tukio lilitokea usiku =angalia mwanga kwenye dirisha, -victim alikua anasoma au anaandika na kamulika kwa kwa kutumia Desk Light
- Kandambili inayoonekana ni moja tu.... -inaonesha kulikuwa na purukushani na kandambili moja ikaelekea kusikojulikana.
- kalamu iliyo juu ya karatasi, ash tray na kopo la kinywaji vipo upande wa kushoto, inaonesha victim ni left handed- anatumia mkono wa kushoto, kwa hiyo asingeweza kutumia mkono wa kulia kujipiga risasi upande wa kushoto
- bastola iko mkono wa kulia. -haiwezekani mtu ajipige risasi upande wa kushoto wa kichwa na risasi hiyo ipenye na itokeze upande wa kulia wa kichwa.
- cable ya desk light imechomolewa. Wakati victim alikua anatumia taa kusoma au kuandima mezani- purukushani ilisababisha kuchomoka kwa cable na kawaida victim asingeweza kuandika suicide note gizani
- kuna umbali wa takribani mita moja toka mwili wa victim na sehemu risasi ilipotokea. -Nani kausogeza? hakuna kiashirio chochote kuwa victim alianza kutapatapa baada ya risasi kupenya kichwani kwake
- Sigara ikiwa mkononi na Bastola mkononi -sigara haiwaki imezima, kama ingekuwa imewashwa victim alipojilipua ingeendelea kuwaka maana iko mkononi hadi ingeisha na kuzima. inaonesha sigara ilizimwa na kupachikwa kwenye mwili wa victim baada ya kufa, tena hata bastola iliwekwa tu mkononi -mkono usioshabihiana na sehemu ya jeraha.
- mlalo wa kiti na mwili.- Mwelekeo wa kiti ni tofauti na uelekeo wa mwili wa victim.
- Victim haoneshi kuwa na dhamira ya kujiua, -kavaa mavazi ya usiku, alikuwa na nia ya kupitia some stuff kabla hajalala.
- Ganda la risasi liko wapi? inaonesha liko mbali na mwili, kinyume na uhalisia wa kujifyatulia risasi. uwepo wa ganda la risasi ungesaidia kufahamu aina ya silaha iliyotumika, umbali na position ya mfyatuaji.