Murder Or suicide?

Its a murder not a suicide
Hiyo bastola kashikishwa angekuwa kajiua hiyo bastola ingemponyoka kwasbb ya ile vibration na mkono kupoteza nguvu na bostola ingedondoka soon after shooting
 
Kabla ya yote inabidi kuangalia haya kwanza:
  1. Picha inaonesha tukio lilitokea usiku =angalia mwanga kwenye dirisha, -victim alikua anasoma au anaandika na kamulika kwa kwa kutumia Desk Light
  2. Kandambili inayoonekana ni moja tu.... -inaonesha kulikuwa na purukushani na kandambili moja ikaelekea kusikojulikana.
  3. kalamu iliyo juu ya karatasi, ash tray na kopo la kinywaji vipo upande wa kushoto, inaonesha victim ni left handed- anatumia mkono wa kushoto, kwa hiyo asingeweza kutumia mkono wa kulia kujipiga risasi upande wa kushoto
  4. bastola iko mkono wa kulia. -haiwezekani mtu ajipige risasi upande wa kushoto wa kichwa na risasi hiyo ipenye na itokeze upande wa kulia wa kichwa.
  5. cable ya desk light imechomolewa. Wakati victim alikua anatumia taa kusoma au kuandima mezani- purukushani ilisababisha kuchomoka kwa cable na kawaida victim asingeweza kuandika suicide note gizani
  6. kuna umbali wa takribani mita moja toka mwili wa victim na sehemu risasi ilipotokea. -Nani kausogeza? hakuna kiashirio chochote kuwa victim alianza kutapatapa baada ya risasi kupenya kichwani kwake
  7. Sigara ikiwa mkononi na Bastola mkononi -sigara haiwaki imezima, kama ingekuwa imewashwa victim alipojilipua ingeendelea kuwaka maana iko mkononi hadi ingeisha na kuzima. inaonesha sigara ilizimwa na kupachikwa kwenye mwili wa victim baada ya kufa, tena hata bastola iliwekwa tu mkononi -mkono usioshabihiana na sehemu ya jeraha.
  8. mlalo wa kiti na mwili.- Mwelekeo wa kiti ni tofauti na uelekeo wa mwili wa victim.
  9. Victim haoneshi kuwa na dhamira ya kujiua, -kavaa mavazi ya usiku, alikuwa na nia ya kupitia some stuff kabla hajalala.
  10. Ganda la risasi liko wapi? inaonesha liko mbali na mwili, kinyume na uhalisia wa kujifyatulia risasi. uwepo wa ganda la risasi ungesaidia kufahamu aina ya silaha iliyotumika, umbali na position ya mfyatuaji.
Kwa hiyo mtu huyo kauawa. it is murder - conducted professionally.
mkuu naona umepost..halafu ukajijibu kwa fake id..isiyo na hata post noja wala maelezo yoyote...
sio rahis kwa mtu wa kawaida kutoa hayo majibu ambayo ni ripot ya kiuchunguz na kuiwakilisha kiustad kiasi hiki..just kwa kuona picha tu.. na hapo ndo nikaanza kupata wasiwasi na wewe..
keep it up..

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
suicide

She finished writing her will/note... smoke a bit and shot her fookin' head

Bullet must come from inside and splash to the glass window

She also bleeds/drips from her left ear (not busted) from that ear

In addition, she felt on the right side, supporting laws za physics, hata stuli inasapoti

kajiua au kashikishwa gun kujilipua

labda tujiulize... why kuna chupa ya shampeni na hakuna glasi?
kutoka alipokuwa kama angekuwa amejiua alitakiwa awe ametumia mkono wa kushoto kujilipua ili damu ionekane upande wa pili wake kulia unless wkt anajishoot aligeuka kulipa dirisha mgongo ndo akatumia mkono wa kulia

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wengi mnaochangia hapa ni bushlawyers. Learned brothers & sisters hawawezi kujenga hitimisho kiweledi kwa kusema tu ni murder au suicide. Inaweza kuwa manslaughter pia.

Lazima watajiuliza nini kinatakiwa kutosheleza mahitaji ya jinai ya murder kuwepo. Sio kila mauaji ni murder.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya yote inabidi kuangalia haya kwanza:
  1. Picha inaonesha tukio lilitokea usiku =angalia mwanga kwenye dirisha, -victim alikua anasoma au anaandika na kamulika kwa kwa kutumia Desk Light
  2. Kandambili inayoonekana ni moja tu.... -inaonesha kulikuwa na purukushani na kandambili moja ikaelekea kusikojulikana.
  3. kalamu iliyo juu ya karatasi, ash tray na kopo la kinywaji vipo upande wa kushoto, inaonesha victim ni left handed- anatumia mkono wa kushoto, kwa hiyo asingeweza kutumia mkono wa kulia kujipiga risasi upande wa kushoto
  4. bastola iko mkono wa kulia. -haiwezekani mtu ajipige risasi upande wa kushoto wa kichwa na risasi hiyo ipenye na itokeze upande wa kulia wa kichwa.
  5. cable ya desk light imechomolewa. Wakati victim alikua anatumia taa kusoma au kuandima mezani- purukushani ilisababisha kuchomoka kwa cable na kawaida victim asingeweza kuandika suicide note gizani
  6. kuna umbali wa takribani mita moja toka mwili wa victim na sehemu risasi ilipotokea. -Nani kausogeza? hakuna kiashirio chochote kuwa victim alianza kutapatapa baada ya risasi kupenya kichwani kwake
  7. Sigara ikiwa mkononi na Bastola mkononi -sigara haiwaki imezima, kama ingekuwa imewashwa victim alipojilipua ingeendelea kuwaka maana iko mkononi hadi ingeisha na kuzima. inaonesha sigara ilizimwa na kupachikwa kwenye mwili wa victim baada ya kufa, tena hata bastola iliwekwa tu mkononi -mkono usioshabihiana na sehemu ya jeraha.
  8. mlalo wa kiti na mwili.- Mwelekeo wa kiti ni tofauti na uelekeo wa mwili wa victim.
  9. Victim haoneshi kuwa na dhamira ya kujiua, -kavaa mavazi ya usiku, alikuwa na nia ya kupitia some stuff kabla hajalala.
  10. Ganda la risasi liko wapi? inaonesha liko mbali na mwili, kinyume na uhalisia wa kujifyatulia risasi. uwepo wa ganda la risasi ungesaidia kufahamu aina ya silaha iliyotumika, umbali na position ya mfyatuaji.
Kwa hiyo mtu huyo kauawa. it is murder - conducted professionally.
Mkuu unaangalia sana movie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom