Nimejaribu kupitia Google, nyama ya kunguru haina shida, ina radha kama ya kuku (kuku wenye nyama nyeusi) kwa maana kunguru ana nyama nyeusi pia, haliwi na watu wengi kwa kuwa anakula mizoga. Ila hana shida kabisa..
Hoja ya Alexander the Great ina point kubwa pia. Niliwahi kuona hili NatGeo, hao nyigu hawafai hata kidogo, wanaua nyuki mzinga mzima ndani ya dakika chache. Hoja yako nayo ina mashiko ya nguvu, hizi dawa za mashambani ni hatari kuliko maelezo kwa kuangamiza nyuki.
Huo ndo ukweli, japo wengi watapinga.. Mwanzoni nilikua mpenzi sana wa Game of Throne, ila sasa... Ni kampeni za wazi kabisa bila hata kutumia akili kubwa kutambua. Kwa wale walio onja shule ya saikolojia japo kidogo wataelewa ni namna gani akili inavyoweza kubadilishwa, kuaminishwa na hatimaye...
Swali zuri sana, ambaye amefuga akafanikiwa anajua mziki wake mpaka kufanikiwa. Kuna kipindi lazima machozi yakutoke, pale wanapoanza kustawi ndipo kilio hutokea. Ufugaji wa kuku ni shule, lazima ujue aeiou kwanza..
Binafsi nikiri kuwa, mwanzo nilikua RC, ila sikua muumini mzuri. Kila nikiingia kusali na kuziona zile sanamu, nilikua nafadhaika moyoni na kujuta kwanini nimengia! Zile sanamu zilikua zinanifanya niache kusali kwa miezi kadhaa. Pia sikupenda makanisa ya kilokole toka moyoni, hivyo nilianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.