Habari wakuu
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wa vyama vya upinzani hususani chadema act na cuf kuwacha nyazifa zao za ubunge, udiwani na nafasi zingine ndani ya vyama vyao na kujiunga na chama cha ccm kwa sababu tu za kuunga juhudi za meko.
Ni vema ninyi mnaohama mkatambua, hakika mtakuja kulia na kujuta kwa maamuzi mnayoyachukua
Kwa sasa habari zinazojadiliwa ndani ya CCM ni kuona namna gani chama kinarudisha thaman yake kwa wanachama asilia.
Wanachama asilia wamecharuka kwa sababu wageni wamefika na kuwapora nafasi na teuzi mbalimbali
Hivyo ccm kimepanga hakuna kanjanja yeyote aliyehama upinzani na kujiunga CCM atapewa nafasi ya uongozi katika uchaguzi ujao.
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanachama wa vyama vya upinzani hususani chadema act na cuf kuwacha nyazifa zao za ubunge, udiwani na nafasi zingine ndani ya vyama vyao na kujiunga na chama cha ccm kwa sababu tu za kuunga juhudi za meko.
Ni vema ninyi mnaohama mkatambua, hakika mtakuja kulia na kujuta kwa maamuzi mnayoyachukua
Kwa sasa habari zinazojadiliwa ndani ya CCM ni kuona namna gani chama kinarudisha thaman yake kwa wanachama asilia.
Wanachama asilia wamecharuka kwa sababu wageni wamefika na kuwapora nafasi na teuzi mbalimbali
Hivyo ccm kimepanga hakuna kanjanja yeyote aliyehama upinzani na kujiunga CCM atapewa nafasi ya uongozi katika uchaguzi ujao.