Recent content by legend Babushka

  1. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Tafuteni hela humuwezi kuamini nipo na USD $ 1,000,000 Leo Las Vegas lakin pesa hii haitoshi kwangu kuishi kwa siku 7 hapa Marekani

    Hata hivo vimilion 10 hatulipwi. Ila tunaishi kwa imani
  2. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Staafisha watumishi wenye miaka 45 na zaidi,halafu anzisha ajira za mikataba ya miaka mitano mitano!

    Mchakato wa kuajiri ni gharama. Na ukishaajiri unawajibika kuwapa mafunzo watumishi wapya ili kuendana na mazingira ya kazi. Pia kwa sasa kuna mabadiliko kila mara ambayo pia ili kuendana nayo ni gharama. Sasa waajiri hawatakuwa tayari kumuandaa mtu ambaye atakuwepo kwa muda wa miaka mitano...
  3. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Katika kufulia kwako,umewahi kuuza mali yako gani ya thamani kwa bei ya hasara mpaka leo ukikumbuka unatamani kulia?

    Nilipunguzwa kazini baada ya biashara kuwa haiendi vizuri. Ule mshahara wa mwisho nikaenda kwa mhindi nikanunua freezer ili nianze kuuza barafu pamoja na kuwawekea wapangaji wenzangu vitu vyao kwenye freezer sababu nyumba niliokuwa nimepanga ni ya watu wa kipato cha chini. Basi nikaongezea na...
  4. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hongereni sana wote. Mimi bado ila naamini Mungu hajaniacha.
  5. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Ujumbe""""wa leo kwa walio-oa

    Tutafuatilia
  6. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Mungu ni mwema au Mungu ni mkatili?

    Mungu hamlazimishi yoyote kumuamini kuwa yeye ni Mwema au Mkatili. Imani yako ndio itaamua umuone yeye ni Mwema au siyo mwema. Kama unaona Mungu ni mwema basi usihangaike na upande mwingine ambao unaona yeye ni mkatili. Mungu hapungukiwi na chochote pale mtu anapoamua kutomuona mwema. Hata...
  7. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Mahusiano Yasipoteze Ramani ya Maisha Yako.

    Namba nne ilipaswa iwe ya kwanza. Ukiweza hiyo basi umemaliza
  8. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Ni ushawahi kushuhudia jeuri ya pesa

    Huyu mshikaji alipata hela za madini. Ile kurudi kwao akawa amepanda kwenye gari. Kama kawaida gari linasubiria abiria lijae halafu liondoke. Mwamba kwa hasira akaona anacheleweshwa, ghafla akaingia duka la pikipiki akanunua ili awahi anakoenda
  9. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania List ya nyimbo ambazo mpaka mwaka 3000 Bado zitakuwa zinasikikizwa kutokana na ubora wake!!

    My hope is built on nothinge else
  10. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe: Nitagombea Urais hata mara 100

    Yeye ndoto yake ni kugombea. Inaonekana akigombea tu moyo wake unaridhika bila kujali ameshinda au la.
  11. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi Dar by force by power

    Ukajua umekutana na fursa kumbe wewe ndio hiyo fursa
  12. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Huko mbeleni atajutia maamuzi yake

    He chose to learn the hard way!
  13. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Tanzania is straight trash, bro! Shit needs to change!

    You're damn ass right nigga!!
Back
Top Bottom