Recent content by legend Babushka

  1. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Ni ushawahi kushuhudia jeuri ya pesa

    Huyu mshikaji alipata hela za madini. Ile kurudi kwao akawa amepanda kwenye gari. Kama kawaida gari linasubiria abiria lijae halafu liondoke. Mwamba kwa hasira akaona anacheleweshwa, ghafla akaingia duka la pikipiki akanunua ili awahi anakoenda
  2. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania List ya nyimbo ambazo mpaka mwaka 3000 Bado zitakuwa zinasikikizwa kutokana na ubora wake!!

    My hope is built on nothinge else
  3. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwenyekiti wa CHAUMMA, Hashim Rungwe: Nitagombea Urais hata mara 100

    Yeye ndoto yake ni kugombea. Inaonekana akigombea tu moyo wake unaridhika bila kujali ameshinda au la.
  4. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi Dar by force by power

    Ukajua umekutana na fursa kumbe wewe ndio hiyo fursa
  5. legend Babushka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko mbeleni atajutia maamuzi yake

    He chose to learn the hard way!
  6. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Tanzania is straight trash, bro! Shit needs to change!

    You're damn ass right nigga!!
  7. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na TRA huenda wakachakachua matokeo

    Punguza makasiriko ndugu. Kama ni ya kwako kazi utaipata tu
  8. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Kuelekea uchaguzi: Tukumbuke duniani kuna walioendelea kwa Chama kimoja, Vyama vingi na kwa udikteta wakizalendo

    CCM siyo chama kibaya....tatizo ni pale tu wanaposahau maslahi ya wananchi na kuweka maslahi yao mbele. Wakiweza kurekebisha hili, hakutakuwa na kelele wa uhitaji wa vyama vingi.
  9. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Mzee Butiku: Polisi anayekubali Kutumika Kwa kufata maelekezo ya kile anachoambiwa, HAFAI kabisa

    Tuacheni kuwatetea Polisi kwenye mambo haramu. Kuna kanuni za maadili ya utumishi wao ambayo yapo kwa kila kazi. Hata kama siyo polisi, boss wako akikuambia uibe, je utatekeleza sababu tu ni boss wako?? Au utafikiria kwanza kabla ya kuamua kutenda? Kama hiyo kazi haifuati sheria na inataka...
  10. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Bifu gani ilitikisa Taifa?

    East coast na West coast
  11. legend Babushka

    JamiiForums Tanzania Serikali ifanyie maboresho mfumo wa kuajiri wafanyakazi wa TRA

    Ipo siku mtu atakuja na mawazo yake kuwa, Inabidi umri wa kuishi upunguzwe. Ukifika miaka kadhaa unyongwe au uchague kufa kwa hiari.
Back
Top Bottom