Huyu mshikaji alipata hela za madini. Ile kurudi kwao akawa amepanda kwenye gari. Kama kawaida gari linasubiria abiria lijae halafu liondoke.
Mwamba kwa hasira akaona anacheleweshwa, ghafla akaingia duka la pikipiki akanunua ili awahi anakoenda
CCM siyo chama kibaya....tatizo ni pale tu wanaposahau maslahi ya wananchi na kuweka maslahi yao mbele. Wakiweza kurekebisha hili, hakutakuwa na kelele wa uhitaji wa vyama vingi.
Tuacheni kuwatetea Polisi kwenye mambo haramu. Kuna kanuni za maadili ya utumishi wao ambayo yapo kwa kila kazi.
Hata kama siyo polisi, boss wako akikuambia uibe, je utatekeleza sababu tu ni boss wako??
Au utafikiria kwanza kabla ya kuamua kutenda?
Kama hiyo kazi haifuati sheria na inataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.