Mchakato wa kuajiri ni gharama. Na ukishaajiri unawajibika kuwapa mafunzo watumishi wapya ili kuendana na mazingira ya kazi.
Pia kwa sasa kuna mabadiliko kila mara ambayo pia ili kuendana nayo ni gharama. Sasa waajiri hawatakuwa tayari kumuandaa mtu ambaye atakuwepo kwa muda wa miaka mitano...
Nilipunguzwa kazini baada ya biashara kuwa haiendi vizuri. Ule mshahara wa mwisho nikaenda kwa mhindi nikanunua freezer ili nianze kuuza barafu pamoja na kuwawekea wapangaji wenzangu vitu vyao kwenye freezer sababu nyumba niliokuwa nimepanga ni ya watu wa kipato cha chini. Basi nikaongezea na...
Mungu hamlazimishi yoyote kumuamini kuwa yeye ni Mwema au Mkatili.
Imani yako ndio itaamua umuone yeye ni Mwema au siyo mwema.
Kama unaona Mungu ni mwema basi usihangaike na upande mwingine ambao unaona yeye ni mkatili.
Mungu hapungukiwi na chochote pale mtu anapoamua kutomuona mwema.
Hata...
Huyu mshikaji alipata hela za madini. Ile kurudi kwao akawa amepanda kwenye gari. Kama kawaida gari linasubiria abiria lijae halafu liondoke.
Mwamba kwa hasira akaona anacheleweshwa, ghafla akaingia duka la pikipiki akanunua ili awahi anakoenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.