Ni ushawahi kushuhudia jeuri ya pesa

Ni ushawahi kushuhudia jeuri ya pesa

Chai
Ilikuwa weekend Moja tupo bar tunapiga beer 🍺 lager na washikaji,
Basi punde si punde akaingia dogo akiwa na wenzake kama wanne wakanunua vinywaji vya bei kali kama Hennessy wakafungua wakanywa kidogo Wakaacha hapo
Madogo wakaletewa bill ikasoma kama milion 4 wakalipa wakaondoka yani kama hakuna kilichotokea
 
Na hizo jeuri maranyingi zinatokeaga maeneo ya migodini...
Kipindi flani nilikua igodima-chunya,nimeingia bar nipate mbili nichukue na mlupo nikalale...kuna dogo alikuja pale kaunta akazuia kaunta yote halafu akasema bar yote tutoke nje anataka kuoshea gari mle ndani ya bar...halafu inaoshewa pombe za kaunta na yoyote atakae jitolea kuosha ndiye atakae baki ndani na atalipwa 150k...
Lakn maajabu tulibaki wawili tu mimi yeye na wahudumu,kumbe waliowengi walikua maponcha wa migodin hawakutaka dharau....
Na ndio mara ya kwanza kupiga 3some kwa gharama za msandawe yule
Ila wanaume mmh
 
Mimi napenda sana wali dagaa. Siku moja nikaenda mgahawani, kuagiza wali dagaa yule mhudumu akanijibu dagaa wanauzwa na ugali tu. Nikamwomba anisaidie tu, akanijibu kama huna hela anipe wali maharage. Nikaona nijibu mapigo.

Nikamwambia anipe ugali na dagaa na wali ili nipate dagaa, alipoleta nikamwambia katupe ugali jalalani. Akiwa anajiona fala nikamwambia naomba kulipa bills za wote wanaokula muda huu. Kulikuwa na wateja kama sita hivi. Ikanitoka kama 53k hivi kulinda heshima ya JF
JF Ina vituko sana
 
Back
Top Bottom