Wakati nipo vidudu miaka ya 91 nakumbuka nilienda dukani kunywa soda,kipindi hicho kulikua na bahati nasibu kwenye pepsi, ile kupekua kizibo nikaona imechorwa picha ya baiskeli, kuna jamaa mmoja akaniomba tubadilishane kile kizibo anipe gari la mchanga, nikamuona nimempaaata
Nakumbuka kwenye miaka ya 94 au 93 hivi kuna njemba lilinituma condom dukani yy alikua anaona noma kwenda, kwenda pale mwenye duka akagoma kunipa akataka nimuoneshe aliyenituma, ile kwenda na muuza duka kwenye ule uchochoro nilipomuacha yule jamaa, alitoka mbio za ajabu
Hivi lowasa huyu huyo ndo aliuza ardhi yetu loliondo kwa waarabu? Me nadhani hii ndo kashfa yake kubwa ambayo imewahi kumpata. Me nadhani Mazuri yake mengi kuliko mabaya.
The peoples power niya ajabu sana. Wananchi wakisha choka hakuna cha kuwarudisha nyuma. Jana jamaa wamelala tahrir Square.hawaendi majumbani mwao mpaka kieleweke. Wameuchoka sana ule uongozi waki dictator walichoka na mfumuko wa bei wa ovyo ovyo Naamini ipo siku na sisi watanzania tutaiga mfano...
Sijachelewa maisha mkuu, ila nadhani kama ningeijua hii site miaka miwili nyuma ingenisaidia kuelewa mambo mengi zaidi from great thinkers. Asante sana kwa kunipa maana ya hayo maneno.
Nilikua siifahamu hii site. Nimesikia kuna mambo mengi sana yana endelea hasa challenge mbalimbali za maisha na Serikali yetu hii tata. Naamini sijapitwa sana naombeni mnipokee wana jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.