Mlichangishwa michnango kujenga uwanja wa bunju mmefikia wapi? Mliahidiwa msimu huu unaoenda ukingoni mngetumia uwanja wa bunju kama uwanja wa nyumbani je ni mechi ngapi mmecheza na ni nani amehoji
Kwa hili sio kweli jamaa yuko makini sana, nimenunua simulizi kama tatu hivi kwake na ya mwisho ndio alichelewa kidogo kutuma ilikaa kama dakika 20 kuipata. Hivyo usiwakatishe tamaa wenzio kama wewe hutaki kununua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.