spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 6,029
- 15,585
Ndo nlitaka kuicomment hapa na vile viunoJambo aisee, waliua😂. “Mimi naitwa jambo ndogo, mimi naitwa jambo katikati, mimi naitwa jambo kubwa. Sauti ya jambo ndogo ilikuwa ni balaa
Ndo nlitaka kuicomment hapa na vile viunoJambo aisee, waliua😂. “Mimi naitwa jambo ndogo, mimi naitwa jambo katikati, mimi naitwa jambo kubwa. Sauti ya jambo ndogo ilikuwa ni balaa
Hilo la chombeza time sio walikuwa Vodacom kweli??tangazo la lotion ya amanda mwaka wa 1998 kipnd hcho redio one ilikuwa inatangaza yaan ilikuwa pw sana,alafu kuna tangazo moja hv la chombeza tme redio one saa 4 usiku ule mlio wa chombeza tme nimeumiss kweli mwenye ule mlio naomba anitumie tafazalin jaman
kale kabinti Bwana! sasa kashakuwa kabibi! Pamoja na mazoezi pia natumia RevolaRevola
Jambo
Mimi ni jambo kubwaaaa,Wasalaam,
Muziki au matangazo ya kibiashara ni vitu vinaweza kutukumbusha hazina ya muda na mambo mazuri tuliwahi kuwa nayo zamani
Binafsi siwezi kulisahau tangazo la dawa ya kuzibia pancha baiskeli..."Vipi Rambooo? Pancha banaa...pancha wakati kuna okoo..."...hapo niko pembeni ya mshua nafanya zoezi la hisabati tena vile vya maswali 40.
Wewe unakumbuka tangazo gani na linakukumbusha "moment" gani nzuri?
"Vipi Omary mbona kila saa ngwala ngwala"
Nilikua nalielewa sana hilo tangazo