Na kweli watu wengi kwa sasa hawalipii tena cable tv. Nasikia pia nchi kama Nigeria wanahack sana systems zao na wanaangalia bure tu. K'o wanapata hasara sana
Yeah. Na sababu kubwa pia ni kwamba hizo kampuni za betting ni wadhamini wakuu wa timu nyingi sana za soka duniani. So, the teams must return the favour
Habarini Wakuu
Kuna jambo linanitatiza sana sana yani. Katika kampeni zilizoanza za Rais John Magufuli, amekuwa akionekana jukwaani na popote akiwa na walinzi waliovalia sare za kijani yaani CCM. Wale jamaa ni wa kitengo kabisa na hawapaswi kuwa na chama chochote kwani TISS ni chombo huru na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.