Recent content by lavista

  1. L

    Nyumba inapangishwa Kimara Mwisho

    Hii nyumba sio choo kipo ndani ila cha shimo.Namaanisha sio cha kuflash.
  2. L

    Clouds Media wamesimama wapi katika hili la Escrow?

    ile sio redio ni kituo cha matangazo.Wahuni sana wale utasikia uzalendo uzalendo kumbe wanajipitisha kwenye watoto wa wakubwa.
  3. L

    Pamoja na Maelezo Ya Muhongo: Ni Kwanini Seith Sigh Bado Anaweza Kuwa Tapeli

    Uhalali wa prof. muhongo kuwa na majigambo badala ya kujibu hoja unatokana na kutoelewa kwa wanaanchi pamoja na kuzima umeme nchi karbu yote bado ukweli utajulikana.Kwa hili hatopona jion ya leo.
  4. L

    Brother K wa Futuhi

    story za ukabila mnapenda kweli.
  5. L

    Basi la Air Bus kutoka Dar es Salaam Kwenda Tabora limepata ajali

    nafikiri ni gharama ila maisha ni gharama zaidi.
  6. L

    Natafuta mfadhili wa kunisomesha

    pia ww ni mhuni mwez wa 4 ulisema unatafuta mchumba wa kiume.Mwez wa 5 post natafuta limama ww ni msaniii.
  7. L

    Natafuta mfadhili wa kunisomesha

    ww upo sahihi ila humu jf sioni anayetambua jitihada zako hata kidogo bora uende sehemu nyingne.
  8. L

    Nimekolewa na mke wa mtu jamani

    kuwa makini kijana
  9. L

    Vitu vinavyonikera ndani ya ndoa

    mwambie aje ofisini tumpe kazi jina la kampuni ni YESU ATOSHA .
  10. L

    Natafuta mchumba baadae mume

    vp mtoto ana umri gani?isije ikawa ulipigwa mashine ikiwa mdogo sana
  11. L

    Live Updates: Mdahalo wa katiba ITV leo

    wasira yupo vizur
  12. L

    STAR TV hamko serious!

    picha ingeonekana wangejitokeza watu ambao sio wazazi halisi.
  13. L

    STAR TV hamko serious!

    ww haupo makini coz zile ni taratibu za kiusalama.
Back
Top Bottom