Hio nyumba itakuwa ni janga .no picha no price wewe unaambiwa tu njoo uione ahhaha . Mambo y akina abunuasi. Sasa kwa nini u advertise online if you lack.?
Hivi kwani kuweka bei huwezi?
Huo muda uliotumia kuandika hapo si ungeweza kutuma text ili kujua bei??
Huyu jamaa ni tapeli!
Bei hataji, picha hataki kuweka.
Hio nyumba itakuwa ni janga .no picha no price wewe unaambiwa tu njoo uione ahhaha . Mambo y akina abunuasi. Sasa kwa nini u advertise online if you lack.?
Hio nyumba itakuwa ni janga .no picha no price wewe unaambiwa tu njoo uione ahhaha . Mambo y akina abunuasi. Sasa kwa nini u advertise online if you lack.?
Hata km ni tapeli sasa kwa hapo atakutapeli nn? Acha uoga dogo!
Sio salama kupiga picha nyumba ambayo mtu anaenda kuishi, note that mkuu!
Utapeli ni pamoja na kutotoa taarifa zote za msingi kuhusiana na biashara husika!
Mfano: Kwa nini bei hataji?
1. Utakuta bei inategemea na mwonekano wako, na kila mtu atatajiwa bei yake.
Kwa nini picha haziwekwi?
2. Nyumba itakuwa na condition ambayo kama ukiiona mapema hutaenda.
Hatari yake ni nini?
Hii nyumba sio choo kipo ndani ila cha shimo.Namaanisha sio cha kuflash.
Hii nyumba sio choo kipo ndani ila cha shimo.Namaanisha sio cha kuflash.
Unamaanisha choo cha shimo na kipo ndani? Ndio maana mdau hataki kutuma picha za nyumba
Kwanza nimeipenda hiyo ya BARABARA YA MOROGORO ROAD ila naona sifa kuu ya maisha ya mwanadamu haijaulizwa wala hujaisema MAJI
Maji yapo ya kutosha labda kuwe na shida ya mitambo ya dawasco.