RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,774
- 129,532
mkuu unamaana gani kutegua mitego ya watu mkuu
nimeuliza tu ili nisifanye 'double booking' akaniona mzushi
mkuu unamaana gani kutegua mitego ya watu mkuu
Mimi ni msichana
Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 29-35
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm
NB: wale wanaodharau dada mwenye mtoto please save your comments.
Shukrani..
Uliye zaa naye anasemaje?Mimi ni msichana,
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni Dar es Salaam
Elimu- Diploma ya Finance
Nina mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya
Hili tangazo ni kwahisani ya watu wa Marekanii. tabu ya kuzaa kabra ya wakati. Umekosea sana wewe si msichana tena, wewe ni mwanamke
Email Chugaraa.tz@gmail.comMimi ni msichana,
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni Dar es Salaam
Elimu- Diploma ya Finance
Nina mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya
Loh, ufupi huu jamani unanikosesha mke hivihivi!
wizi tu......
kweli atakuwa huyu au atakuwa pacha wake............ ila hii nahisi ni njia mpya ya kutafuta wateja.
Mimi ni msichana,
Nina miaka 27, mkristo(RC),
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni Dar es Salaam
Elimu- Diploma ya Finance
Nina mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 30-40
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana
Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya