Natafuta mchumba baadae mume

Natafuta mchumba baadae mume


Mimi ni msichana
Nna miaka 25,mkristo(RC),mchagga
Nimeajiriwa
Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)
Makazi yangu ni dar
Elimu-BA
Nna mtoto mmoja
Sifa:
Awe na umri kati ya 29-35
Awe mkristo
Awe ameajiriwa/amejiajiri
Mwenye hofu ya Mungu
Kama ana mtoto asizidi mmoja
Hardworker
Elimu kuanzia form six na kuendelea
Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm
NB: wale wanaodharau dada mwenye mtoto please save your comments.
Shukrani..



wizi tu......

kweli atakuwa huyu au atakuwa pacha wake............ ila hii nahisi ni njia mpya ya kutafuta wateja.
 
Njoo kwangu,mm umri no miaka 33,mkristo(morovian) elimu ni Irrigation&water resources Engineer ,ni pm kwa namba 0717075102
 
Mimi ni msichana,

Nina miaka 27, mkristo(RC),

Nimeajiriwa

Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)

Makazi yangu ni Dar es Salaam

Elimu- Diploma ya Finance

Nina mtoto mmoja

Sifa:

Awe na umri kati ya 30-40

Awe mkristo

Awe ameajiriwa/amejiajiri

Mwenye hofu ya Mungu

Kama ana mtoto asizidi mmoja

Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia

Elimu kuanzia form six na kuendelea

Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya
Uliye zaa naye anasemaje?
 
hebu fafanua na mambo mengine ya muhimu,mfano una mzigo mkubwa au wa wastani au fkati.Je una mguu au hauna .n.k.ww unakuwa juu juu tu.Xome again bana
 
kuna rafiki yangu ni Dr.yuko Uswiss anatafuta mke aliye na vigezo km vyako uko tayari tupia no yako basi nikuunganishe nae.
 
Hili tangazo ni kwahisani ya watu wa Marekanii. tabu ya kuzaa kabra ya wakati. Umekosea sana wewe si msichana tena, wewe ni mwanamke

Kuna watu duniani isingekuwa vibaya kama wangezaliwa vyura.... Wakapige kelele mtoni
 
Mimi ni msichana,

Nina miaka 27, mkristo(RC),

Nimeajiriwa

Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)

Makazi yangu ni Dar es Salaam

Elimu- Diploma ya Finance

Nina mtoto mmoja

Sifa:

Awe na umri kati ya 30-40

Awe mkristo

Awe ameajiriwa/amejiajiri

Mwenye hofu ya Mungu

Kama ana mtoto asizidi mmoja

Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia

Elimu kuanzia form six na kuendelea

Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya
Email Chugaraa.tz@gmail.com
 
ufupi weakness kwa kina dada
labda ufupi upi unao zungumzia? Below 160cm?
 
Baba mtoto kala kona? Ipi sababu? tuanzie hapo kwanza
 
wizi tu......

kweli atakuwa huyu au atakuwa pacha wake............ ila hii nahisi ni njia mpya ya kutafuta wateja.

Inawezekana akawa ni yule yule na akawa sio mwizi....

Sio mbaya kutafuta kwa ID mbili tofauti....
 
Mimi ni msichana,

Nina miaka 27, mkristo(RC),

Nimeajiriwa

Nina umbo la wastani,rangi(maji ya kunde)

Makazi yangu ni Dar es Salaam

Elimu- Diploma ya Finance

Nina mtoto mmoja

Sifa:

Awe na umri kati ya 30-40

Awe mkristo

Awe ameajiriwa/amejiajiri

Mwenye hofu ya Mungu

Kama ana mtoto asizidi mmoja

Hardworker,na anajiheshimu na kujithamini pia

Elimu kuanzia form six na kuendelea

Asiwe mfupi sana

Tuwasiliane kwa pm;
NB;Haina haja yakuandika kashfa au matusi kama huitaji mtu mwenye mtoto kaa kimya

Kama upo seriouz tuwasiliane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom