Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Nimekolewa na mke wa mtu jamani

ukpenda boga ndo upende na ua lake! kma ushakolewa na mke wa mtu bac ujue na mumewe yupo
 
Usisahau kutembea na K-Y Jelly kwa ajili ya kukusaidia kulainisha rinda lako pindi zamu yako itakapofika.
 
Kumbe Kujisifia kula mke wa mtu ndio akili.... mpe namba ya simu ya mkeo then aje atusimulie na huku

hata hujui unachoandika,we unauhakika gani kama hiyo mada ni ya kweli ,go die to hell,huyo mke ulinipa afu machoko mmevamia kwa kasi sana sijui mmelogwa
 
Dah! Huyo muache, ni mke wa mtu! kuwa na heshima kwa mwanaume mwenzio, ebu piga picha mkeo mjamzito wa miezi miwili analiwa na mwingine, ungejisikiaje? Mke wa mtu sumu. Fumanizi balaa, usiombe likukute!
 
Adhabu yako ni kifo(for real u deserve it). Nakuahidi mungu hamtupi mja wake,utakuja kufanyiwa kwa mkeo bora mwenzio hajui,wewe utajua na utakosa la kufanya. Utaza watoto wote wakike na wote watafanywa na watu wako wakaribu,na hata bahat ukizaa mtoto wakiume,atakuwa shoga na mtaa wote utajua. Kwann mungu asikulipe? Why? Labda uache.
 
Duhhh....!!!!!!

Adhabu yako ni kifo(for real u deserve it). Nakuahidi mungu hamtupi mja wake,utakuja kufanyiwa kwa mkeo bora mwenzio hajui,wewe utajua na utakosa la kufanya. Utaza watoto wote wakike na wote watafanywa na watu wako wakaribu,na hata bahat ukizaa mtoto wakiume,atakuwa shoga na mtaa wote utajua. Kwann mungu asikulipe? Why? Labda uache.
 
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka

Nakushauri uendelee ili siku ya mwisho ukifumaniwa tupate cha kuandika JF na pia waandishi wa Shigongo wapate salary
 
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka


Du asante Y,, mgoni wangu nimempata live,, kwa kutumia GPS recorder .......
 
akikolea anakuwa anajilamba hehehe.
Ukikolea na mchepuko hukawii kujisahau ukamtwangia simu saa tisa usiku atii.
Ila kuchepuka shida sana, iko kama project ya kutafuta gesi dodoma:wacko:
Akikolea anakuwaje eti?ujue kuna.wataalam wa kuchepuka kila siku..yaani mchepuko endelevu
 
hehehe, hamna rocket science hapa aiseee.
Halafu eti dada King'asti si ndo.maana nikasema apa unafiki tu watu shingo zimekomaa kumbe ndo zao..hapa hata hujaenda kwa mpiga ramli kumkumbuka huyu mmoja

pata picha hako kababy kako kanalea mimba, hata nywele kuchana hawezi. Halafu ndo anakuja kugundua unajirusha na mwafulani. Maumivu pande zote bwana, acheni!:hail:
Hahahahaaaaa, paw ataniona wapi yuko busy kupiga ban wana JF hadi anakuja home yuko hoi hajiwezi? Ila siyo SIRI KUCHAPIWA INAUMA! Yaani huyu jamaa nimesoma thread yake nikahisi nyongo imemwagika mwilini mwangu, waaaaaaaaaaaaaa na mapigo ya moyo yaka-double, adrenaline hormone imeshafanya kazi! We fikiria kababy kako kazuri unakapenda nikajakazito then anatokea mbwakoko anatia najisi hadi mtoto aliyetumboni!! Na anakuja kujitapa hadharani! Yaani ni bora ingekuwa siri yake moyoni, aiseeee!
 
Back
Top Bottom