Mambo ya kuvumiliana upumbavu kwenye ndoa yaani limtu ulilianza kwa kulitongoza na kukulia hela zako,ukaenda kwao ukalilipia mpka hela ya mahari,ukaendelea kulilisha na kuligharamia kwa kujinyima alafu linakusumbua eti unaendelea kuvumilia na kuumia kimya kimya yaani juhudi zako ni kugeuza kwako...
Nilijiunga JF mwaka 2010 wakati matokeo yetu ya form 4 yalipotoka,Maana website ya Necta ilikuwa inasumbua kufunguka ,ila JF yalikuwa yamewekwa pia,ndo ikawa mwanzo wa kuifahamu
Anastahili mimi na wanangu wa Arusha tunampatia yuko vizuri ,anao ushawishi ubunifu na maono kuweza kuleta maendeleo Arusha kuliko hao unaowapigia debe maana hawana ushawishi wala uwezo kiutendaji na kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.