Recent content by Last KING Ontuzu

  1. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Sikiliza hiyo alafu unipe kazi ya kuandika nyimbo kali
  2. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    kula chuma icho
  3. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Dr. Nyambane na mauaji ya mkewe huko Kenya

    Mambo ya kuvumiliana upumbavu kwenye ndoa yaani limtu ulilianza kwa kulitongoza na kukulia hela zako,ukaenda kwao ukalilipia mpka hela ya mahari,ukaendelea kulilisha na kuligharamia kwa kujinyima alafu linakusumbua eti unaendelea kuvumilia na kuumia kimya kimya yaani juhudi zako ni kugeuza kwako...
  4. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sababu ipi ilikufanya kujiunga JamiiForums? Mimi ni kikao cha Mwitongo, nikiwa na Makongoro na Mkapa December 2014!

    Nilijiunga JF mwaka 2010 wakati matokeo yetu ya form 4 yalipotoka,Maana website ya Necta ilikuwa inasumbua kufunguka ,ila JF yalikuwa yamewekwa pia,ndo ikawa mwanzo wa kuifahamu
  5. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Badokufa
  6. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Kiburi kimeua mahusiano ya watu wengi kuliko usaliti

    Uzi mzuri umefanya niandike wimbo huu ni mkali sana download usikilize
  7. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Wale walinda BRAND mnakaza sio?🔥

    Nimependa sana uzi wako mpaka nimetumia uzi wako nimetengeneza wimbo mkali huu hapa ,download usikilize
  8. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Hivi unawezaje kuishi na mpenzi ambae hakutafuti wala kukupigia simu mpaka awe na shida

    Uzi wako nimeuweka kwenye wimbo huu ,kwa kweli inasikitisha sana
  9. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Lijue kundi la Wajamaa CCM linalojulikana kama Sukuma Gang

    Lifanyie utafiti zaidi
  10. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Kwanini katazo la wafanyabiashara wa kigeni limekuwa mwiba mchungu kwa Kenya?

    Wanatutegemea katika lipi fafanua
  11. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwa nini lilipelekwa Jina Moja la Samia

    Wamemchoka kivipi?
  12. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Ugali ni chakula adimu katika sherehe, sababu ni nini?

    Hicho chakula kinapendwa zaidi na nyani mkuu
  13. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

    Anastahili mimi na wanangu wa Arusha tunampatia yuko vizuri ,anao ushawishi ubunifu na maono kuweza kuleta maendeleo Arusha kuliko hao unaowapigia debe maana hawana ushawishi wala uwezo kiutendaji na kisiasa
Back
Top Bottom