Recent content by Last KING Ontuzu

  1. Last KING Ontuzu

    Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

    Sawa kabisa,Ndo mambo ya wamwera wa Lindi Nachingwea,ni wavivu,majungu na uchawi,kila kukicha kuoa na kuachana na wanaona poa tuu,tabia mbovu za watoto kukosa malezi kutokana na kukosa misingi imara ya familia maana mama zao kila kukicha wanaolewa na kuachana,na baba wa kambo hana sauti juu ya...
  2. Last KING Ontuzu

    Niliyoyashuhudia Jeshini

    Mimi pia nimepita hapo Op Magu
  3. Last KING Ontuzu

    Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

    Hamjui kama chadema mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe kwa kuhusisha kabila la wasukuma na sukuma gang so wasukuma wengi wanaanza kuona mmewabagua na mmewaweka kundi hilo kumbuka wasukuma tupo wengi?you spirit hii mnauoijenga mmetumia akili fupi sana hamuoni mbele
  4. Last KING Ontuzu

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Utalii Mwanza unaendelea kupamba moto wageni kutoka duniani kote wanazidi kumiminika Mwanza
  5. Last KING Ontuzu

    Mjapan ajibadilisha kuwa mbwa, atumia zaidi ya $ 15000 kupata vazi litakalomfananisha na mbwa kabisa

    Sio kila jambo unalotamani utimize ni jambo la maana mengine ni upumbavu Naiomba serikali iingilie kati
  6. Last KING Ontuzu

    Ngoma za asili zinazoenziwa na wageni hunoga sana

    Toa link tuone youtube,au tutajie majina ya nyimbo zake,vinginevyo utakuwa umeandika umbeya km umbeya mwingine tu
  7. Last KING Ontuzu

    Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Achana na makabila ya watu mshamba wewe.
  8. Last KING Ontuzu

    Matumizi ya Lugha ya Kiarabu kwenye kujifunza dini ya Kiislam ni utumwa wa hadharani

    Biblia ya kwanza kuandikwa iliandikwa kwa lugha ya Kigiriki, lakini inafundishwa kwa lugha zote no limitations za lugha. Ila sisi Waislam kwanini tujifunze dini kwa Kiarabu, yaani hii naona sio sawa hadi azana asubuhi Kiarabu wasio Waislam wanasikia makelele tu maana hamna wanachoelewa.
  9. Last KING Ontuzu

    Ni kweli huyu msichana anaishi duniani?

    Nchi hii imejaa vijana wa hovyo sana
  10. Last KING Ontuzu

    Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

    Hapo masaka nimetafuna toto la kiganda ,kuna mji mwingine unaitwa Mbarara napo nimegonga gonga sana ,wsganda siyo wachoyo kwa kweli
  11. Last KING Ontuzu

    Jinsi gani mapenzi yaliweza kukurudisha nyuma kimaendeleo au kuvuruga maisha yako?

    Kuna ukweli katika msemo wa kwamba "Bora ukosee vyote ila usikosee kuoa au kuolewa. Mapenzi ni vita, Mapenzi mabaya Wahenga wanasema hivyo na wanasistiza mapenzi yana run dunia. Kuna jamaa namfahamu alifanyiziwa ushirikina na demu wake baada ya kuachana jogoo akawa hawiki kbs, na akapata nuksi...
  12. Last KING Ontuzu

    Kwanini tatizo la upungufu wa nguvu za kike halizungumziwi vizuri?

    Wanamatatizo makubwa pamoja na hilo la kupungua kwa vichocheo vya kuamsha hisia za mapenzi
Back
Top Bottom