Sawa kabisa,Ndo mambo ya wamwera wa Lindi Nachingwea,ni wavivu,majungu na uchawi,kila kukicha kuoa na kuachana na wanaona poa tuu,tabia mbovu za watoto kukosa malezi kutokana na kukosa misingi imara ya familia maana mama zao kila kukicha wanaolewa na kuachana,na baba wa kambo hana sauti juu ya...
Hamjui kama chadema mnajikaanga kwa mafuta yenu wenyewe kwa kuhusisha kabila la wasukuma na sukuma gang so wasukuma wengi wanaanza kuona mmewabagua na mmewaweka kundi hilo kumbuka wasukuma tupo wengi?you spirit hii mnauoijenga mmetumia akili fupi sana hamuoni mbele
Biblia ya kwanza kuandikwa iliandikwa kwa lugha ya Kigiriki, lakini inafundishwa kwa lugha zote no limitations za lugha.
Ila sisi Waislam kwanini tujifunze dini kwa Kiarabu, yaani hii naona sio sawa hadi azana asubuhi Kiarabu wasio Waislam wanasikia makelele tu maana hamna wanachoelewa.
Kuna ukweli katika msemo wa kwamba "Bora ukosee vyote ila usikosee kuoa au kuolewa. Mapenzi ni vita, Mapenzi mabaya
Wahenga wanasema hivyo na wanasistiza mapenzi yana run dunia.
Kuna jamaa namfahamu alifanyiziwa ushirikina na demu wake baada ya kuachana jogoo akawa hawiki kbs, na akapata nuksi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.