Recent content by Last KING Ontuzu

  1. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Badokufa
  2. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiburi kimeua mahusiano ya watu wengi kuliko usaliti

    Uzi mzuri umefanya niandike wimbo huu ni mkali sana download usikilize
  3. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale walinda BRAND mnakaza sio?🔥

    Nimependa sana uzi wako mpaka nimetumia uzi wako nimetengeneza wimbo mkali huu hapa ,download usikilize
  4. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unawezaje kuishi na mpenzi ambae hakutafuti wala kukupigia simu mpaka awe na shida

    Uzi wako nimeuweka kwenye wimbo huu ,kwa kweli inasikitisha sana
  5. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Lijue kundi la Wajamaa CCM linalojulikana kama Sukuma Gang

    Lifanyie utafiti zaidi
  6. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Kwanini katazo la wafanyabiashara wa kigeni limekuwa mwiba mchungu kwa Kenya?

    Wanatutegemea katika lipi fafanua
  7. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sasa nimeelewa kwa nini lilipelekwa Jina Moja la Samia

    Wamemchoka kivipi?
  8. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Ugali ni chakula adimu katika sherehe, sababu ni nini?

    Hicho chakula kinapendwa zaidi na nyani mkuu
  9. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

    Anastahili mimi na wanangu wa Arusha tunampatia yuko vizuri ,anao ushawishi ubunifu na maono kuweza kuleta maendeleo Arusha kuliko hao unaowapigia debe maana hawana ushawishi wala uwezo kiutendaji na kisiasa
  10. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania New prophet in Town. Ninafanya free style prophecy hapahapa JF

    Mimi 18 April. Niambie
  11. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Hapana wasitugeuze katuni za kuchekesha watu mitandaoni tafadhali kila jambo na kiasi, heshima ifate mkondo wake
  12. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Najua mkuu Kuna utani wa makabila ila watani wetu tunawajua ni wagogo na wazaramo ila kila mtu kushobokea utani usiomhusu. Kuna kila dalili za chuki na kudhalilishana kila jambo linatakiwa kuwa na kiasi mkuu.
  13. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Wewe ni kiazi ambacho sipaswi kujibizana nacho unanipotezea muda kenge wewe
  14. Last KING Ontuzu

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Itoshe kusema kuwa wewe ni mpumbavu ,ambae hata iweje huwezi kujinasua kwenye upumbavu
Back
Top Bottom