Recent content by Last KING Ontuzu

  1. Last KING Ontuzu

    Ugali ni chakula adimu katika sherehe, sababu ni nini?

    Hicho chakula kinapendwa zaidi na nyani mkuu
  2. Last KING Ontuzu

    Arusha kuweni serious suala la Mbunge ajaye

    Anastahili mimi na wanangu wa Arusha tunampatia yuko vizuri ,anao ushawishi ubunifu na maono kuweza kuleta maendeleo Arusha kuliko hao unaowapigia debe maana hawana ushawishi wala uwezo kiutendaji na kisiasa
  3. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Hapana wasitugeuze katuni za kuchekesha watu mitandaoni tafadhali kila jambo na kiasi, heshima ifate mkondo wake
  4. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Najua mkuu Kuna utani wa makabila ila watani wetu tunawajua ni wagogo na wazaramo ila kila mtu kushobokea utani usiomhusu. Kuna kila dalili za chuki na kudhalilishana kila jambo linatakiwa kuwa na kiasi mkuu.
  5. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Wewe ni kiazi ambacho sipaswi kujibizana nacho unanipotezea muda kenge wewe
  6. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Itoshe kusema kuwa wewe ni mpumbavu ,ambae hata iweje huwezi kujinasua kwenye upumbavu
  7. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Itoshe kusema kuwa wewe ni mpumbavu ,ambae hata iweje huwezi kujinasua kwenye upumbavu.
  8. Last KING Ontuzu

    Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Wakuu nimevumilia hili lakini naona linazidi. Siku hizi kuna wimbi kubwa la watu wameona kuandika maudhui ya kukejeli kabila la wasukuma ni ujanja ama ni Content ! Na wengine wasiojielewa huendelea kukoment upumbavu na kuchekelea🇹🇿 Kuna majitu yanafurahia sana hizi kejeli ,kwani wasukuma...
  9. Last KING Ontuzu

    Hivi mzazi ukiwa una uwezo unaweza kuruhusu mwanao ajiunge na kazi za majeshi ?

    Ni moja ya kazi za watu masikini labda ukuu wa majeshi ambao nao sio rahisi kuupata kwa mtoto wa masikini asiye na connection kubwa na rais
Back
Top Bottom