Muelewe hoja hapo sio kurudi usiku au bize anapata wapi muda wa kuangalia tv na wa kutoa amri ambayo kapewa na mumewe.Mbaya zaidi watoto wanaumwa hata hajui.
Huu mchezo hauitaji hasira, competitive market VAT inatuhusu sisi watumiaji wa huduma.
Hata kama leo watakubaliana kumbuka kesho wataongeza the main aim of bussnez man is to maximize profit
Kila tajiri ana njia zake kwa mujibu wa vitabu kwa waliofanikiwa ni kwamba lazima uwe na
1.Akili ya ziada ya kufikiria uwezo wa ki entrepreneure.
2.Kipaji binafsi(Talent) mfano Messi,Ronado, Diamond wa bongofleva,Ally Kiba na wengine wengi.
3.Ukunali njia za kufundishika, nenda shule, jifunze...
Hii TZ tunachonga sana hasa sisi tusio na ndugu wa kutushika mkono, sioni kipya Mh. JPM kuteua watu ambao tayari wazazi wao au wao wenyewe wamekitumikia chama kwa muda mrefu.
Fuatilia chaguzi za marekani kwenye kiti cha uraisi utangundua kitu, Kenya vilevile, Zanzibar nao pia kwani rais kakosea...
bonge la somo, uzi kama huu kwa watu wenye malengo chanya lakini uthubutu unawashinda inawafaa sana kwani the good entepreneure is the one who bear risk, usiogope kujaribu hata kama wanakukatisha tamaa kwamba hautaweza.
bonge la ushauri, kazi inatafutwa sana na watu wa elimu ndogo kwa wenye level kubwa, kidogo ni ngumu kupata,kwaio cha msingi ndugu yangu usikate tamaa ya kutafuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.