Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,319
Mkuu sina ushabiki wa kihivyo yaan niumie kisa staa kaumizwa. Kwanza ndio nafurahia zari awe huru maana ts too much. Ukienda mtandaoni utakuta team zari wamefurahia.
That is super cool, mimi pia namtakia maisha mema mama/dada wa watu, most of us feel happy to see achievers suffering.
Kibongo Bongo tuna msemo wa aliyeko juu mngoje chini, so akiharibikiwa tunapata faraja.