Hii project ya Tanzania Democracy Support Project ipo?

Hii project ya Tanzania Democracy Support Project ipo?

NJUGHU

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
383
Reaction score
269
Imetangaza nafasi za kazi na walio chaguliwa wanatakiwa kutoa gharama za verification ya vyeti kupitia mpesa, je hii project ni ya kweli maana na mdogo Wangu anaomba fedha hiyo asije tapeliwa na mitandao.

Nijuzeni.
 
Ukishasikia habari za Mpesa na Tigo pesa, kata kona!!! Maumivu hayo

Hapo kimbia haraka sana.Wanaweza kukwambia kazi umepata na inahitajika cheti fulani ili kukipata utalipia gjarama kampuni flani hivi toka huko Kenya au kwingineko hapo ujue mpango wa kula pesa na kazi utaona inaota mbawa.Take Care.
 
Duuh basi jamaa.watakuwa hatari hata mim nimwtumiwa tena cha ajabu usiku huu daah basi nawapotezea
 
Hawa jamaa nahisi ni matapeli maana nimefatilia hawajulikani popote
 
jamani embu kabla ya kucrash hiyo programu tufanye utafiti wa kina maana naona wengi kwakuwa wamesema utagharimia verification cost ya certificate watu mnaanza kuwa na negative perception, embu tuwe wadadisi, kuna msemo unasema uwoga wako ndio umaskini wako.
 
  • M-Pesa : Aloyce Shirima ----0763-99-04-11, Namba hyo na ukipiga haipatikani na wao wamekataa mtu kupiga, Anayetaka kuliwa atume

 
  • M-Pesa : Aloyce Shirima ----0763-99-04-11, Namba hyo na ukipiga haipatikani na wao wamekataa mtu kupiga, Anayetaka kuliwa atume

    Hio namba inapatikana usiku tu alafu ukipiga hawapokei alafu na link ya website yao haifunguki kabisa.
 
Matapeli hao,, hata mi nilishawahi kutapeliwa na mtu aliyejifanya anatoka seacon company
 
jamani mbona na mm niliapply nipo njia panda kutuma hyo pesa bt niliwatumia sms ili kuwauliza deadline ya kutuma pesa na vyeti wamenijibu
 
Mm nmewatumia sms kuwaomba kuzipeleka phyisically nkaonane na huyo lawyer hawajanijibu...kua makini ndugu yangu
 
Wandugu,

Na mii wameniumia email na maelekezo as per below
Our organization has appointed a professional lawyer from a law firm in Tanzania, to help us with the verification, authentication and certification of the selected candidate's submitted certificates at your own cost as shall be instructed. This is because as an organization we are not familiar with the Tanzanian's issued certificates from colleges and universities.

To complete the required necessary second procedures, follow these steps;

  • Due to limited time schedule please Send your Scanned certificates(O-level, A-Level and or College/University) to; Mr Aloyce Shirima , Along with Certification Costs of Tsh 51,500/= before the mentioned deadline of 19[SUP]th [/SUP]August.


  • Then, He will send you Certification Letter once your certificates has been verified, screened and certified by him.
 
nilitaka nitume sasa ivi kumbe ni matapeli mmh tanzania na sheria zetu za mitandaoo fanyeni kazi yenu
 
BS33UD139 Imethibitishwa Tsh51,500 imetumwa kwa Aloyce Shirima Tarehe 16/8/15 saa 12:29 PM Salio lako la M-PESA ni Tsh57,920.


Msitume ndugu zangu me nmetapeliwa
 
Back
Top Bottom