Tatizo liko katika mfumo. Kwwnza namna walimu wenyewe wanavyopatikana ukitafakari kwa undani utazimia. Eti anachukuliwa div.3&4 aende akawe mwalimu alafu Div.1&2 akasomee taaluma nyingine "zinazolipa vizuri".
Hapo ndipo tatizo linapoanzia.
Mi naona kama huyo mbunge abataka kuwasaidia wananchi wake basi awanunulie uniform na viatu. Akinunua kwa ajili ya maskini tu wasio na uwezo kabisa hata mshahara wake wa miezi mitatu utatosha kumaliza hilo tatizo.
Zitto siyo zao la CCM. ZZK ni zao la CDM. Sema ametofautiana mambo mengi na wenzake wa CDM na Kubenea ni Mwanaharakati aliyesaliti uanaharakati wake kwa kula matapishi yake kwa hiyo hawa watu wawili hawalinganishiki.
Jamani matumizi ya ligha nzuri ni muhimu hata kama mtu kakuudhi mjibu vizuri. CDM wamebunimradi wa kukusanya fedhakwa maendeleoya chama,haya masualaya nani anakula wapiyanatpka wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.