Wakati tukifumbia macho kinga ya Rais, Waziri Mkuu wa zamani wa Israeli afungwa kwa rushwa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,034
144,388
Wakati sisi tukiendelea na utaratibu wa kikatiba wa kutoa kinga kwa raisi kutoshikiwa popote,waziri mkuu wa zamani wa Israel,Ehud Olmert amehukumiwa kwenda jela kwa muda wa miezi 18 kwa kosa la rushwa.

Olmert, alikuwa waziri mkuu wa Israeli kati ya mwaka 2006 mpaka mwaka 2009 na alitenda kosa hilo alipokuwa Mayor wa Jiji la Jerusalem.

Watanzania tuna kubwa la kujifunza hapa ingawa hili swala nadiriki kusema halipewi umuhimu hata na wapinzani.

Sifa yetu kubwa ni kulalamika tu tena kwa kufuata matukio na tukio likipita tunasahau tunangoja liibuke lingine.

Mtanisamehe huu ndio ukweli kuhusu sisi wabongo.
 
Tukiondoa kinga hakuta kua na Rais mstafu mtaani.. wote watapanga vyumba huko segerea
 
Wakati sisi tukiendelea na utaratibu wa kikatiba wa kutoa kinga kwa raisi kutoshikiwa popote,waziri mkuu wa zamani wa Israel,Ehud Olmert amehukumiwa kwenda jela kwa muda wa miezi 18 kwa kosa la rushwa.

Olmert, alikuwa waziri mkuu wa Israeli kati ya mwaka 2006 mpaka mwaka 2009 na alitenda kosa hilo alipokuwa Mayor wa Jiji la Jerusalem.

Watanzania tuna kubwa la kujifunza hapa ingawa hili swala nadiriki kusema halipewi umuhimu hata na wapinzani.

Sifa yetu kubwa ni kulalamika tu tena kwa kufuata matukio na tukio likipita tunasahau tunangoja liibuke lingine.

Mtanisamehe huu ndio ukweli kuhusu sisi wabongo.
 
hii ni nchi tunahitaji maamuzi mazito kuchukua dhidi ya wizi, tunauza soda tunaacha dhahabu bure ni aibu sana kwa magufuli.
 
Wakati sisi tukiendelea na utaratibu wa kikatiba wa kutoa kinga kwa raisi kutoshikiwa popote,waziri mkuu wa zamani wa Israel,Ehud Olmert amehukumiwa kwenda jela kwa muda wa miezi 18 kwa kosa la rushwa.

Olmert, alikuwa waziri mkuu wa Israeli kati ya mwaka 2006 mpaka mwaka 2009 na alitenda kosa hilo alipokuwa Mayor wa Jiji la Jerusalem.

Watanzania tuna kubwa la kujifunza hapa ingawa hili swala nadiriki kusema halipewi umuhimu hata na wapinzani.

Sifa yetu kubwa ni kulalamika tu tena kwa kufuata matukio na tukio likipita tunasahau tunangoja liibuke lingine.

Mtanisamehe huu ndio ukweli kuhusu sisi wabongo.
mkuu kubadilisha mambo yanayowabana viongozi walioko madarakani.unahitaji kiongozi asiye dikteta na awe msafi! kuliweka hilo kwenye katiba inakuwa Tanzi kwa maraisi wote watakao tawala.mpaka.sasa hatujapata Raisi atakayekubali kufanya hilo.kumbuka kwa nchi zetu za kiafrika madaraka na mamlaka yote yanakuwa mikononi mwa Rais na chama chake sio wananchi.
 
C
Halafu sijui kwanini wanakwepa hii kitu, sie watu weusi tuna laana
Ni zaidi ya laana!!
mkuu kubadilisha mambo yanayowabana viongozi walioko madarakani.unahitaji kiongozi asiye dikteta na awe msafi! kuliweka hilo kwenye katiba inakuwa Tanzi kwa maraisi wote watakao tawala.mpaka.sasa hatujapata Raisi atakayekubali kufanya hilo.kumbuka kwa nchi zetu za kiafrika madaraka na mamlaka yote yanakuwa mikononi mwa Rais na chama chake sio wananchi.
 
mkuu kubadilisha mambo yanayowabana viongozi walioko madarakani.unahitaji kiongozi asiye dikteta na awe msafi! kuliweka hilo kwenye katiba inakuwa Tanzi kwa maraisi wote watakao tawala.mpaka.sasa hatujapata Raisi atakayekubali kufanya hilo.kumbuka kwa nchi zetu za kiafrika madaraka na mamlaka yote yanakuwa mikononi mwa Rais na chama chake sio wananchi.
Cha ajabu hata katiba ya Warioba hili jambo walilipa kisogo.Wapinzani nao hawalipi umuhimu na hata vyombo vya habari nao hawana habari nalo.Huku kwenye mitandao nako hatuna habari na jambo hili.Cha ajabu itokee tuhuma kuhusu raisi utaona mihemiko karibu kila mahali.Kwa kifupi niseme sisi ni watu wa ajabu sana kupata kuishi katika hii sayari!
 
Mungu aliwapendelea sana wazungu, japo amesema hana upendeleo lkn hapana


Uchama a.k.a ukereketwa ni tatizo kubwa la nchi hii. Huo ni ujinga no.1 hii inawafanya watu wengi kuwa loyalty kwa vyama vyao badala ya nchi.

Ni kwa njia hiyo hawawezi kuweka kipengele cha kumuwajibisha boss ndani ya chama. Umeona muda wote bungeni kazi ya wabunge wetu ni kuishabikia serikali badala ya wananchi. WATAWEKAJE KIFUNGU KINACHOMBANA BOSI WAO NDANI US SERIKALI? ?????????!!
 
hata hapa bongo rais mstaafu anaweza kushtakiwa kwa makosa aliyofanya akiwa sio rais sema tu mamlaka hazijaamua kutekereza hilo, ana kinga ya makosa aliyofanya akiwa rais tu.
 
Israel haina rasilimali maana nchi yao ni ndogo sana na sehemu kubwa ni jangwa. uchumi wao unategemea sana katika kuuza vifaa ya kijeshi, teknolojia na misaada kutoka mataifa ya magharibi. so wakicheza na rushwa,ufisadi na wizi hali itakuwa mbaya sana. Sisi waafrika hatuendelei kwa sababu tunafumbia macho na kukumbatia rushwa,wizi na ufisadi ingawa tuna rasilimali nyingi sana.
 
hata rais wa israel wa zamani yuko jela,''Netanyahu mwenyewe ana scandal nae akimaliza ni jela tu
 
Back
Top Bottom