Nasikia mke wa mtu ni sumu, nina panya wengi nyumbani wananisumbua

Mke ni sumu ya mtu na si ya panya kama unavyofikiri mkuu, ila kama unaitafuta utaipata tu
 
umenikumbusha kitale. alienda usiku kwenye nyumba ya jamaa akawa anapiga hodi. mwenye nyumba akaitika karibu, kitale akamuuliza; mke wako yupo?, jamaa akamuuliza mke wangu unamtakia nini usiku huu?..kitale akajibu;
nataka nimpeleke nyumbani kwangu kuna panya wengi nasikia mke wa mtu sumu. mia
 
Ucjaribu chombeza, yatakuja yakukute, ucyoyategemea........utakojoa dagaa- by LWP Crew.
 
Back
Top Bottom