Recent content by labia

  1. L

    Mbowe azindua mkakati mzito CHADEMA

    Mimi nahisi CHAMVIGA=RITZ! UBONGO WENU WOTE UNAFANANA!
  2. L

    Hotuba ya JK leo vipi?

    wewe sidhani kama kichwani mwako kuna kitu. Unakurupuka tu kama mwehu daily!
  3. L

    Nini tofauti kati ya CHADEMA na utawala wa Idd Amin?

    Kwa hio wewe unaona chadema wenye dola? Hivi utawala wa kikwete na wa idd amini una tofauti? akili yako kumbe ndogo nimekudhalau, unashindwa hata kujua wakati aliotawala idd amini na wakati tuliopo sasa. by the way unasema mgombea wa chadema anachaguliwa na mtu mmoja, je ni nani huyo...
  4. L

    CHADEMA yaicharaza CCM Bumbuli, Tanga

    Tunataka vyama vya siasa viwili tu ccm na chadema ktk nchi yetu. Ccm ameshindwa kazi hivo 2015 tunampa chadema. Akishindwa tunampa ccm tena, akishindwa tunawapa chadema tena. Hakika baada ya miaka 20 tanzania itakuwa inakuwa developed country.
  5. L

    NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

    Haha watu mnajua kufukunyua ID's
  6. L

    CHADEMA yaicharaza CCM Bumbuli, Tanga

    Like like like like!!!!!!!!
  7. L

    CHADEMA Hawa waondolewe kabla ya 2014

    Yani huu uzi umeanzishwa na magamba halafu unashambuliwa na magamba!!!!
  8. L

    Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa

    Wewe si ndo wale wale makanjanja, yani hata shetani akusaidie utamsifu
  9. L

    Mh. Mwakyembe amgwaya Mh. Mbilinyi (Sugu) kuhusu uwanja wa ndege

    kwanini wengine ambao huwa wanajipambanua wapambanaji wasifuate nyayo zake?
  10. L

    Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

    Inamana viongozi woote wa ccm hasa wasomi tulionao akina sitta, mwakiembe, membe, lowasa, nundu, januari makamba, mwigulu nchanga hawamshauri mheshimiwa rais kuhusu hili suala la udini?
  11. L

    Dr. A. Paurine: Majibu kwa Chris Lukosi na propaganda zake dhidi ya CHADEMA

    hivi huyu jamaa anawajua watanzania au anawasikia? Mwananchi wa kawaida ni yupi? Na asiwe wa kawaida ni yupi? Unaleta stori zile zile za karne ya 20 ambayo CCM waliitumia kututawala kwa kuamini kila wanaemteua kugombea ubunge lazima apite. Naomba nikuhahakikishie yafuatayo kabla hujatokwa na...
  12. L

    Tuhuma za ugaidi wa Lwakatare: Mwingine adakwa Bukoba

    Binadamu tunatofautiana akili ila naona zako zitakuwa na mapungufu mengine. Hata kama unalipwa kwa kazi hii ya kujibu na kushambulia bila logic reasoning unapoteza uhalisia wa kuitwa human being. Naomba unitajie matukio au vifo vilivosababishwa na chadema kwa ugaidi wao, vile vile taja...
  13. L

    Vijana, msifanye makosa kama niliyofanya. Kujiunga na CHADEMA ni sawa na kucheza karata tatu!

    Hivi huyu jamaa huko UK hakuna upinzani? USA hakuna upinzani? Nchi itaendeleaje bila upinzani? Hivi mtu unaishi nje ya nchi tena UK unashindwa kujua maana ya opposition party? Kama ulijiunga chadema kwa kupotea waache na wengine wapotee kwani unawasadia nini?
Back
Top Bottom