sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,895
- 5,308
Mkuu huwezi kuziba huo mshipa unaopitisha mawazo machafu ya udini kichwani kwako hata kwa dakika moja na ukajadili mambo kwa uzalendo na upendo wa Nchi yako?Kila la kheri kwakuwa kimeshaimarika kanisani sasa ni wakati wa kuwahadaa waislamu. Nyakageni kazi yako imeonekana na sasa Mbowe anaokuongezea nguvu ili chama kiinaendelea.
Last edited by a moderator: