Recent content by la fiducia

  1. L

    Waziri Kigwangalla: Wasichana warembo na wakaka watanashati kuajiriwa

    Kwa iyo interview itakua unacheka Cheka tuu unageuka mbele na nyuma tukuone, alafu unapata kazi ama,
  2. L

    Halotel mtakuja jutia kwa uamuzi mliochukua, mamia ya watu wanahama halotel

    Mi mwenyewe mda sio mwingi nasepa Halotel,, Ukiachilia kupunguza mb na Huduma zao kuyumba kingine cha hatari zaidi>>>> WANAKULA SANA MB, Yana unaeza ukajua kuna mfereji kwenye cm unaondoka nazo, Nishawashindwa mie,, Bye bye Haotel......
  3. L

    Msaada wa elimu ya ufugaji kuku

    Kama unataka kusoma kabisa short course ni pm nikuunganishe ukasome.
  4. L

    Kamari: Janga lingine lililofumbiwa macho

    Ajira hakuna, Mishahara haipandi, vipato viko palepale, maisha magumu,,, vijana siku hizi hawaibi waacheni wabeti jaman eeeeh dah, wapeni mitaji basi
  5. L

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Izi c za mwaka Jana lakin au huzisomi ukaona! Mbona mnazingua
  6. L

    Dini ya Kiislam yenye mfumo wa Kipentekoste yaja

    Unashindwa kutofautisha dini na dhehebu! Dini ni moja tuu lakin madhehebu yapo! Kwa kauli ya mtume wa mungu ni kwamba kutakuja makund zaid ya sabini lakini moja tuu ndio litakuwa sahihi! Uislam ni mmoja na utaendelea kuwa mmoja! Mtaendelea kuuchafua ila hamtoweza! Endeleen kudumisha ushoga na...
  7. L

    Msikiti mpya kufunguliwa Ujerumani, Mashoga, Kawaida, Wanawake, Suni, Shia kusali kwa pamoja!

    Mnachokoza watu! Wakifanya yao mnawaita magaidi, dah
  8. L

    parsing errors problem inantesa

    Unatumia cm aina gan!?
  9. L

    Wizi Tengeru jijini Arusha

    Tengeru wizi ulikuwa zaman sio sasa! Asa ivi wote washamba tuu! We unatoka dar es salaam unakuja kuibiwa tengeru!? Waambie viongoz waanze na dar es salaam! Tengeru wez waliobak ni wale wanaotembea usiku wakikuta kitu nje hawaach panoja na wez wa kuku!
  10. L

    Wadada wavaa mawigi na kutingisha vichwa vyao kidogo pindi uwaongeleshapo..

    Yakivuka ndio utawaonea huruma wanavyopaparika! Alaf hawana ata aibu ukiwaambia dada nywele zako nzur wanaotikia bila aibu,, etii Asanteee, kumbe kavaa wigi
  11. L

    Serikali, waelekezeni wanaotafuta elimu ya India na China kwa watoto wasio na sifa

    Nyie mlitaka watu wasisome au!? We shida yako nn kila mtu anatafuta maisha yake akimaliza atajua wap atatafuta kazi ili maisha yake yaende! Sisi apa tumejaa umbea tuu shule zetu mbovu alaf tunataka watu wafaulu kwa viwango vya juu c ukhabithi huu! Acha watu wakatafute maisha yao popote na kwa...
  12. L

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    Yani kuna watu wanajitesa akili na kingereza kiiingi eti kisa kasikia mashoga wamewekwa ndani. Mara oooh tunahitaji uchumi upelekwe mbele sijui non, asa unataka uchumi alaf wajenga uchumi wamelegea matako kwa kudukuliwa kila siku! Alaf anauliza mtu anauliza Mugabe ni nani! Dah mtu ata...
  13. L

    Asikuambie mtu! Wahaya ni wazuri...

    Wabaya wapo kibao tuu hujatembea ww
  14. L

    Kubet ni janga jipya, labda ni pacha wa shisha

    Dar es salaam watu wamezaa bila mpango hela hakuna, wazazi hawajiwezi! Acha vijana wabeti tupate ela ya kula! Naweka jero timu nne kila siku sikosi mpunga wa supu! Ukinia hela ya mtaji naacha
Back
Top Bottom