Recent content by kyukyu

  1. K

    kumbe NELLY ushobokaji alianza zamani

    Wat wanamfagilia dimondo bila kujijua! Hongera mtoa mada kwa Kutuapdate na maisha ya dimondo! Tumekuelewa
  2. K

    Prof. Muhongo ni mtu makini ninayemjua

    Hawa wazungu walikuwepo kabla ya Muhongo nyie ndo mwawashtukia leo !! Tehteh binadamu bana!
  3. K

    Coalition of the willing kagame and museveni msaidieni mwenzenu dhidi ya magaidi

    Na kweli hamjachelewa mana matukio yote ya kigaidi mliyazima na wahalifu kuwakamata na hamkusita kuwawajibisha waliozembea mpaka mikasa kuwakuta. Poleni
  4. K

    MSAADA: Kwa waislam tu

    Hata angekuta maji angemwaga sababu pale si sehemu ya kuuzia maji!
  5. K

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Wamaziko wagumu hawa kha😁😁😁
  6. K

    Kutoka Dodoma, Jamhuri Stadium: Uzinduzi wa 'Tanzania naiaminia'

    Hata Obama huwa anakutana na wasanii. wenye stress kazi kwenu!
  7. K

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Hawa wabaguzi wamefunga😬😬😬😬
  8. K

    Tambo za waziri Muhongo

    Kawashika pabaya tehteh thread haziishi kuhusu jenerali Muhongo
  9. K

    Profesa Muhongo amekengeuka!

    Muhongo kawashika pabaya!
  10. K

    Ugomvi wa Mengi na Prof. Muhongo nani msuluhishi?

    Tpdc ipo kwa niaba ya watanzania wote matajiri na maskini!
  11. K

    Nina mke mzuri sana, ila hana akili kabisa!

    Weka picha tuone kama ana akili au hana
  12. K

    Mkuu wa Tume ya Uchaguzi ya Malawi atengua Amri ya Rais Banda ya kufuta Matokeo ya Urais

    Alikuwa busy na kupindisha mipaka wat wakasema no! Sijui ajaye ataendeleza bifu
Back
Top Bottom