Recent content by kyerwa

  1. K

    Kuoa mwanamke wa kihaya inataka ujiandae

    Watoto wa Kihaya hawawazi vitu vidogo kama kanga nk wanawaza maendeleo , kama wewe ni mume wa kuwaza mambo madogo si size yako tafuta pwani utasitarehe.
  2. K

    Kwa nini magazeti ya Tanzania leo hayana story hii muhimu

    ndg zangu hii nchi imekuwa masikini wa pesa na mawazo ndiyo maana kila linalotoka amerika ni sahii, sisi tunalala wao wanafikiri badala yetu.
  3. K

    Eeehh Mwenyezi Mungu niepushe na Mali Nyingi!!!!

    mimi naomba nipate mali nyingi maana Suleimani alikuwa tajiri lakini alitii Mungu na Ayubu alikuwa tajili alimpendeza Mungu ila kubwa zaidi omba HEKIMA
  4. K

    Hivi wanawake wa JamiiForums wanachakachulika?

    mke wa mtu ni hatari mbinguni na duniani, hatari tupu.
  5. K

    Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

    Hakika wewe ndo mrembo maana wewe ni simple woman
  6. K

    UVCCM: Hussein Bashe amjibu Nape kiaina

    Kweli ukeli haufichiki bashe alistaili kuwa mbunge.
  7. K

    Symbion Power acquires DOWANS Power plant

    huko ndo kuvua gamba, gamba la downs wameliva wamevaa gamba la symbion. Tumeliwa!!!
  8. K

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    nafikiri tuwaache kwanza peke yao alafu baadae yuwaulize kama wanataka muungano, maana sikuzote wanalalamika kwamba wanaonewa, kumbuka ngombe asipokatika mkia wake hajui thamani yake.
  9. K

    Bwana Shein Rais wa Zanzibar na kilemba cha ukoka

    Ndg toa maelezo siyo malalamiko ili ueleweke unachotaka kusema
  10. K

    Mwanaume kujiliza liza kha!

    Wote tupo sawa simlisema nyie? Au ni kwenye vyeo tu?
  11. K

    CCM wamejivua Gamba: Je CCM siyo Nyoka tena bali sasa ni mjusi tu?

    Mungu anawapa wote waovu na wema
  12. K

    CCM yatamba haiogopi mafisadi!

    Inayaogopa mbona hawatutajii hayo mafisadi ? angalia tusichezewe akili, hivi Januari makamba anaweza kumtosa baba yake? tumia akili
Back
Top Bottom