Aaaaaaa asikusumbue huyo achana naye. Huyo hatakufaa kwa lolote. Nakushauri kwa mujibu wa maelezo yako huyu atakusumbua. Futa mpaka namba yake ya simu kwenye simu yako
Dunia ina watu wa aina nyingi, usiwe unazama kwa mtu kama huyu. Huyu ni shetani wa maisha yako. Unajuaje hata haya Mungu...
Hapana dada naomba nikuambie hii ni jamii forum. Kwa haya maneno yako uliyoandika hapa UNAIPOTOSHA JAMII. Regardless ya umasikini na utajiri mwanamke na mwanaume wanahitajiana kimwili na kimalezi ya watoto watakaozaliwa. Inakupa heshima kama una watoto wanne kwa baba mmoja hata kama ni masikini...
Huyu mdada nafikiri ulipomuita alidhani unataka kumtongoza. Nafikiri hivyo lakini. Niwaambie tu akina dada, hata kama mtu akikuita kwa lengo la kukutongoza- wewe muheshimu mwambie samahani wewe siyo mtu wa tabia hizo kisha ondoka. Kumsonya mtu kwa hisia za kutongozwa ni kujibu au kutenda baya...
Hebu nifafanulie dada yangu. kwa hapa goli linahesabiwa kwa nani, kwenu wote wawili au mwanaume ndiyo kipimo cha goli kwamba anatakiwa yeye mwanaume akushughulikie mpaka yeye apige hizo goli au huyu mwanaume anatakiwa akushughulikie mpaka wewe upate goli zako tatu. tafadhali jibu kwani...
Ni ukweli kuwa matunzo ya mwili mnene unahitaji kuwa makini zaidi kuliko mtu mwenye mwili mwembamba. Lakini kwa uzi huu ulivyochukuliwa ni kama watu wanene wanakashifiwa-ingawa inaweza ikawa si hivyo. Nionavyo mimi usafi ni swala la mtu binafsi. Linahitaji kujielewa ukoje wewe binafsi na hatua...
Kama walivyoshauri wengine, ni vigumu kuuzungumzia moyo wa mtu just kwa kutumia hizi sms.Sijui una umri gani, lakini pia kuna vitu vingi ambavyo nadhani huyu dada anafanya na kupitia hivyo hutashindwa kugundua kitu. Lakini short and clear - Kama unampenda na unadhani unaweza kula kitu chake basi...
Lakini kwa nini usiende kuombewa hapoa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Arusha ili Mungu aingilie kati? Jaribu dear huwezi jua Mungu akakupa wako kwelikweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.