Akina dada mpunguze kuomba omba

Akina dada mpunguze kuomba omba

Basi nakubar uwee unanihonga mm ntakua nakupa papuchi yangu au wasemajee....lakin tuelewane dau utakua unanihonga sh ngap....il ukinpa punguf nje kukushtaki hapa jamvin

hahaha wewe mwenyewe ndio unajua dhamani ya papuchi yako sasa wewe taja dau hapa tuone unaidhaminije papuchi yako.
anagalizo: bei utajao iwe na uwiano na uzuri wako. sio wataka range rover hapa hizo wanastahili wakina klynn
 
hahaha wewe mwenyewe ndio unajua dhamani ya papuchi yako sasa wewe taja dau hapa tuone unaidhaminije papuchi yako.
anagalizo: bei utajao iwe na uwiano na uzuri wako. sio wataka range rover hapa hizo wanastahili wakina klynn

Naona umeji-quote. hahaha!
 
sawa kupendezeshwa lakini wewe wakati mwingine tunamfahamu bwanako unayempa "k" lakini kupendezeshwa kwa wengine - inauma unajua?

Bundle limekata huyo, alikuwa anamalizia jana bundle lake la nipige tafu.
 
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.

umenikumbusha safari moja nilienda na fastjet

nikakuatana na dada mmmoja siti moja...wakati natua nikatoa ka HTC changu cha mazabe...tena mbele kimeapsuliwa na wajukuu zenu hamu sina ..kutuma msg mko wapi nduguzanu nimetua mwanza

akaniomba namba akisema atantafut dar.nikasema ok..mwaya nimefika hotelini nikatumiwa msg ukowapi dia..nikajibu nilipofikia ..akauliza swali la pili hotelini nyumba binafsi nikamwambia hotelini...mmh macha...yakaanza nicheza

usiku akantumia jamani nimependa simu yako namimi natamani ya touch

cikumbuki kma nilijibu tena...asbh akatuma msg acha ubaili utakosa bahati hata kujibu msg unahisi tuna shida sana

nikamwambia raha unayo wewee
 
Back
Top Bottom