- Thread starter
- #21
...asa wewe ndo unapotosha maana,mtu kukuonyesha kuwa wa muhimu kwake sio lazima awe anakutaka kilove...[/QUO
Mkuu Gefu hayo wayasema wewe. Mm nauliza tafsiri ya salaam za kila usiku na asubuhi toka kwa "dada". Sijui zina maana gani, naomba usinilishe maneno.