Ma house boy na wake za watu

Ma house boy na wake za watu

yani we kiwavi kweli, ndo ninyi mnaoishi na housegirls kama siwatu, mnawalisha makombo,viporo na kuwavisha matambara ya deki....

Mkuu, hata mimi nina wasiwasi huo..watu wanaishi na hawa wasaidizi kama wanyama..,Eti uchafu, aaah!!
 
pole na uchovu wa kazi madam, lete nikupokee mkoba madam. pumzika kidogo apo kwenye sofa nikufanyie massage ya miguu afu nikuandalie maji ya kuoga. madam kwani baba mbona siku hizi anachelewa sana kurudi? mmh alafu madam leo umependeza sana icho kitop, madam unajua kuvaa wewe!

mmh..afu we John wewe...una maneno...
 
Tena wamama wa kichaga ndo wanapenda sana kusuguliwa na mashamba boy wao wale wanaowasaidia kuchunga "nguruwe"ngómbe etc. We mume unajidai ooh nipo bize dukani sijui kazini ukirudi haumpi mama haki yake. Utashangaa na roho yako
Hapa mkuu umeteleza kidogo. Lu Mama zangu ndio wanatenda haya?
 
Tatizo mme kremu..kigoli kimoja siyo ishu
..ishu namna gani umemshughulisha mama kwenye hilo goli moja...waulizeni kina dada kama goli moja la mwanamme ndiyo lina matter..we hata upige goli 10 lakini cha muhimu demu afike kileleni.a squirt etc .....au vipi ladies?

Umenena
 
We mzee mwenye nyumba umekalia pombe na nyama choma wengine mipira ya Premier league ukirudi upo bize na laptop unajidai upo bize. Hata ukipewa game full kulalamika eti umechoka unako.joa kimoja hoi. Mwenzio houseboy yupo home saa zote wife akirudi amechoka anaanza kwanza na Salaam Shikamoo Mama...Pole... anampokea begi.. anamuandalia juice...maji ya kuoga...sasa siku anatunukiwa papuchi anapiga papuchi kama hana akili nzuri.....WE KAZI KUSUKUMA KITAMBI TU.....
Uzinzi tu hata kama angetembea na kitambi meneja....!
 
mmh..afu we John wewe...una maneno...

hahahaaa, kawaida tu madam. huwa nasikia raha sana moyoni kila nikuonapo umerudi salama nyumbani madam. afu madam kuna kazawadi natamani kukununulia, ila mmh naogopa madam.
 
Kwa hiyo yule aliye katika uhusiano na mwanaume lakini asitembee na 'houseboy' bali bosi wake, mfanyabiashara, mpenzi wake wa zamani, na kadhalika, yeye ana dawa?
Hana dawa

Mi nilidhani kuchepuka ni kuchepuka tu na ukishachepuka ni umechepuka na haijalishi umechepuka na nani. Kumbe hata kuchepuka kuna viwango na madaraja!!??[/QUOTE]

Majanga
 
Lakini Bossman, huoni kwamba kudhani kuwa "this woman is a cheap slut...hukua unajua mwanzo she can go that low.." kisa tu kalala na houseboy, ni kumdharau houseboy na kumchukulia kama binadamu asiye na hadhi?
Kweli kabisa
Kwa nini huo mtazamo wako usiwe across the board kwa yeyote anacheat?

Kwa sababu kama ushakubali kuwa cheating is cheating regardless, why then shouldn't it be the same regardless of the stature of the paramour?

A married woman cheating on her husband with a record label executive, for example, is not going low? She ain't a cheap but expensive slut for doing that?
[/QUOTE]
Naam
 
Na mwanaume atembeae na house girl?

...hapana, si ustaarabu!! Hakuna tofauti kati ya mke kulala na house boy na mme kulala na house girl...
..actually ni dhambi kuzini na yeyote, awe bosi, secretary, jirani...!!
 
Hapa lazima watu bp na sugar zimewapanda na kushuka.
 
Huwa inakuwaje mtu anazoeana na maids wa nyumbani kwake? Haijawahi kunitokea, hata tu ukute napiga story na hg na kugonga?!

Sasa hb hadi akuvue kyupi?????

Maids are human being too
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom