Recent content by kwel2

  1. K

    Upendo upo tatizo hatuaminiani

    Hii post inanikumbusha vingi sana
  2. K

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    wadau hivi hii mala ya ngapi watumishi wa wizara husika wametoa matamko na hayajazaaa matunda, tunaanza na mh alisema ajira ni january, haya akaja mwimgine akasema ni february mwazoni haya leo tena wanawambia wanetu ajira ni mwezi march bila kusema tarehe ni lini ebu acheni uhuni nyie wizara ya...
  3. K

    Mbeya Mjini: Kiboko ya Sugu 2015 ni Mbuzax

    mmekaa bar mmelewa meamua kuandika hivi uyu mbuza si ndiy yule kijana mwny roho ya kwanini anatakaga awe yeye tu siku zote, sikilizeni exposure ya sugu na mbuza ni CV tosha ya mbuza kukaa pembeni nakumucha sugu afanye yake jiji la mbeya linataka kiongozi jeuri kama sugu mmasema hamjaona tofauti...
  4. K

    RPC Tabora: Una taarifa kuwa bwalo la Polisi panauzwa kitimoto?

    Tanzania nia inchi isiyo na dini na inaheshimu imani ya kila mtu jambo la kushangaza eneo la umma tena jeshi ambalo watumishi wake ni imani tofauti pamekuwepo na huduma ya kitimoto swali je watu wasiotumia kiti moto waende wapi pls kuu angalia hili suala hili.
  5. K

    Msaada wa kuweza kupata mtoto

    pole sana mkuu kawaone wataalamu wa masuala ya uzazi wakikupa majibu yafanyie kazi pia jaribu kufanya maombi mungu hamtupi mja wake amkumbukay.
  6. K

    Natafuta mchumba

    umri nadhani si kigezo dada yangu unaweza pata wa umri unaoitaji ikawa tatizo punguza nasharti wenyenia waje
  7. K

    hili linaweza kua zali au nitaliwa

    inaonekana wewe mgeni katika matumizi ya mtandao sasa wewe wape details zako uone hao matapeli amini tukuambiacho hakuna zali la pila mpagilio zaidi ya kuokota pesa njiani si hivi from no where unapewa pesa
  8. K

    Nafasi za jkt

    nafasi za jkt zishatoka mwezi wa kwanza mpaka wa pil watuwakaondoka na sasa wapo mafunzoni subilia mwakani ndiyo zitatoka tena.
  9. K

    Msahada: Nitapata wapi vifungashio vya hair shapoo, na sabuni ya maji.

    kama unashida sema unashida upewe suruhisho usipende kudandia magari kwa mbele utagongwa.
  10. K

    Umri halisi wa celebrities wa kibongo. ..Part 1.

    yupo haruna moshi bobani bwana nakumbuka miye nipo la kwanza mwaka 98 jamaa anasoma sekondary ila nashangaa mpaka leo bado anacheza na umri wa miaka 20
  11. K

    Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

    what for? Wewe ingia changia mada ukiwa na tatizo sema usaidiwe.
  12. K

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    inakera sana pala unapofuatilia mijadala ya bunge, nakuona wazi kuwa hawa viongozi wa bungeni wanaongozwa na hisia si weredi wa ambacho wanatakiwa kukifanya, leo mbunge katukana wazi kabisa kaachwa huyu anaomba nafasi ya tarifa mnasema msumbufu na kuamua mtoa nje pasipo kujua kaonyesha utovu upi...
  13. K

    et jaman?

    ingia web ya wizara ya elimu angalia usitusumbue wakati source inafahamika.
  14. K

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    ebwana hii sehemu sijui ina nini mpaka sasa ukifika pako vile vile pamechangamka mwaka jana mwenyeji wangu anasema twnde uku pamechangamka mda huu kufika naona kituo cha polisi, na njia panda nikasema hapa si maua bar akasema hapana panaitwa zero, jmaa mmoja akadakia akasema ndiyo penyewe mkuu...
  15. K

    Tukumbushane watu wa Tabora-Mboka Manyema

    Dah! Rubeye umemtaja jackson kuku nimestuka maana hawa jamaa waliviziaga mzee kasafiri wakaja na kundi lake na mapanga wakavamia nyumba wakabeba vitu vyote ndani kaka yangu mkawa anamjua jackson kuku akasema jackson dah wakampiga upanga kichwani akalazwa kitete week 2 jamaa sijui yupo hai...
Back
Top Bottom