wakuu kuna anaemkumbuka Adam Gosho na mazingaombwe yake ya uongo na vijana wake wale wa Karate!!?disco la mwanaisungu opp.uhazili.........upinzani wa timu za mpira miaka ile..........timu ya posta na polisi,magereza ya uyui na rhino ya nzega gemu zinapigwa uwanja wa kumbukumbu ya vita pale,watoto wa gongoni na bange zao!kisima cha kilimbika,bwawa la Taliani(kulisemekana kulikua na 'chunusi' kule....lol!)...................wahalifu maarufu aka zile kina Mafuta ya ndege(anakimbia huyo.....hatareeee,Bolt hakamati!),Jackson kuku,sinema za ukumbi wa Diamond miaka ile.
nakumbuka tukio la mabehewa ya petroli kuwaka moto pale stesheni..kilikuwa kipindi cha vita ya ghuba,basi tukajua marekani na saddam wameanza kukinukisha na huku tayari.....lol!
Dah! Rubeye umemtaja jackson kuku nimestuka maana hawa jamaa waliviziaga mzee kasafiri wakaja na kundi lake na mapanga wakavamia nyumba wakabeba vitu vyote ndani kaka yangu mkawa anamjua jackson kuku akasema jackson dah wakampiga upanga kichwani akalazwa kitete week 2 jamaa sijui yupo hai maana alikuwa nooma kweli.