Ulichotakiwa kufanya ni kutangaza nia yako kwa wana monduli,na siyo kuandika barua kwa mhe.lowassa. Mhe lowassa hana haki miliki ya ubunge monduli, wenzio wengi wenye nia kama yako wameshaanza kutangaza nia zao mfano.sanare,mwotiko,sakita lazaro sokoine nk,cha muhimu nenda kwa wananchi ndugu...