Pinder hana machunga wala nini, ila ana kipaji cha kuigiza na machozi ya jirani.wadau msimamo wa mzee 6 mimi binafsi unanichanganya sielewi mzee huyu kama kweli anayoyasema anayatenda au hayatendi, naomba wataalamu wa mambo wanisaide kujua msimamo wa huyu bwana6.
wadau msimamo wa mzee 6 mimi binafsi unanichanganya sielewi mzee huyu kama kweli anayoyasema anayatenda au hayatendi, naomba wataalamu wa mambo wanisaide kujua msimamo wa huyu bwana6.
Hana uchungu na nchi huyu fisadi papa bali ana usongo wa kukalia kiti cha urais, hizo sarakasi zote ni mkakati wa kwenda magogoni.
Kuna ambaye sio mnafiki ccm?Mkiweza kunitajia hata mmoja nitawapa shilingi moja ya Tz.Angekuwa na uchungu na nchi asingejenga ofisi ya uspika kule urambo kwa mamilioni ya walipa kodi akiamini kwamba atakuwa spika wa maisha.Ni mnafiki namba moja hapa tanzania, na ajiulize hata akiwa mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji alifanya nini kusaidia kusolvu swala la umeme tz?
wadau msimamo wa mzee 6 mimi binafsi unanichanganya sielewi mzee huyu kama kweli anayoyasema anayatenda au hayatendi, naomba wataalamu wa mambo wanisaide kujua msimamo wa huyu bwana6.