MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Salama kama hizi nadhani waachie CCM, inatosha kushukuru wapiga kura, chama na ofisi ya Bunge; Huo ndio ushauri wangu.
Otherwise CDM wamejipanga kuliko hata serikali iliopo madarakani sijui kwanini hawataki kupisha ili hili hii nchni isonge mbele.
Nakupinga kwa hili, shukrani ni uungwana mkubwa sana. Bila mkeo kukupa sapoti na amani katika nyumba, kamwe hutafanya lolote la muhimu.
As for Lema, I salute you guy!