Naisema out of desperation. Ombwe linaloonekana wazi baada ya Lowassa kutemwa serikalini linaonesha ndiye aliyekuwa rais katika miaka ile 2 ya mwanzo ya utawala wa JK.
We saw and heard him making things happen rather than wait and talk about what has happened! Serikali ya sasa inazungumzia yanayotokea kama journalists tu, hata viongozi wanatoa comments tu badala ya kuchukua hatua za utendaji! Lowassa was better! Unfortunately I'm realizing this at a time when he can't get back in.
Na uzoefu wangu kama mwanahistoria ni kuwa kiongozi akishajeruhiwa kisiasa, akirudi madarakani anakuwa mbaya hatari kabisa, mifano: Milton Obote, Laurent Gbagbo, na wengine. Yaani hapa sasa hasa mwaka huu ni amang'ana gasarikire, tunahitaji system overhaul tuanze upya kabisa!
We saw and heard him making things happen rather than wait and talk about what has happened! Serikali ya sasa inazungumzia yanayotokea kama journalists tu, hata viongozi wanatoa comments tu badala ya kuchukua hatua za utendaji! Lowassa was better! Unfortunately I'm realizing this at a time when he can't get back in.
Na uzoefu wangu kama mwanahistoria ni kuwa kiongozi akishajeruhiwa kisiasa, akirudi madarakani anakuwa mbaya hatari kabisa, mifano: Milton Obote, Laurent Gbagbo, na wengine. Yaani hapa sasa hasa mwaka huu ni amang'ana gasarikire, tunahitaji system overhaul tuanze upya kabisa!