mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #41
Mmh! anyway ahsante sana dada! Lakini mie si mwanaume wa hivyo! eti huyu mama anitumie alafu amlengeshe na shoga yake,nooo hawezekani na sitakuwa teyari kufanya hivyo. Imetokea tu kwa huyu mama na from nowhere naona kama tunapendana hivi. Na huyu mama mume wake yuko busy na misafari ya kikazi nje ya nchi. so mama hana mtu wa kumuhudumia kimapenzi. Amini huyu mama anajiheshimu sana na si muhuni kihivyo! sema ni bahili tu<br />
<br />
Lengo haswa la mwanaume rijali kumfuata mwanamke who will never see 50ty again ni nini kama si pesa ?
Kama kwenu kiyoyozi kipo na hutumii kilevi, na nina uhakika kuna chakula cha kutosha, sasa wht r u expecting to achieve? Maana hakuna pesa yoyote unayopata hapo, ninavyowajua wamama wa namna hii wanahadithiana, akishakuchoka anampa shogake n so on and so forth...sasa utachezewa mpaka lini mwanaume mtu mzima over 30ty ?
Pole nimekuwa very blunt lakini lazima nikupe ukweli,