Huyo anaesema jina halina tatizo kiutamaduni na desturi yetu Huyo Hana akili zilisawa na ni mjinga shule za kuiba mitihani na kudesa tu
Ina maana wakiita seheme za sirii za mama yake anaona poa huo ni ukosefu wa akili
Mamlaka husika Jamani sisi watanzania tunatofauti kubwa ya kidesturi na...
Watanzania naomba tuelewe mpasuko uliopo ni mkubwa Sana si Kama mnavofikiria kumbukeni zitto alivovuliwa tu nyazifa zake wenyeviti wangapii walijiuzulu mikoa ya kusini singida kigoma arusha kwenye ngome ya chadema nako kuna makundi mawili
Hili kundi la zitto ni kubwa japo halijajitokeza...
Ana lalama tu kuhusu mabomu Mara ccm Hana hoja za kusaidia uchafu wa mitaa na shida za maji na umeme arusha barabara zimejaa vumbi tupu maeneo ya wanaomshabikia ndiko kumejaa vibaka na wasionakazi arusha Ina mateja na wazurulaji tu
Kwani we nani unaekataa aside UDSM kwani ni ya wachaga au kanisa acha ujinga acha atueleze ufisadi wa wachaga na mipango ya kanisa dhidi ya nchi yetu tatizo la zzt ni Dini yake na anakotoka kumbuka Akina lema walivoeekwa na makanisa arusha na mipango yake kanisani unaijua mwacheni zzt bora cdm...
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.