alinikimbia na pesa zangu,amerudi tena!

alinikimbia na pesa zangu,amerudi tena!

Kama umeamua kumpa mpe ila mwambie alivyokukimbia na hela yako hukupenda ili ajue
 
Kama umeamua kumpa mpe ila mwambie alivyokukimbia na hela yako hukupenda ili ajue

dah kadada nazisaka kwa jasho kinoma.ni mkweli msela anaonekana anahitaji msaada but. bora wakati ule angesema tu hakuwa na uwezo wa kulipa kuliko kusepa ki namna ile
 
Hakuna kumkopesha huyo tapeli mkubwa alivyokutapeli alifikiri ndio shida zimeisha? Wapo watu wengi sana wa tabia hii ambayo inakera na ni mbaya. Heri mtu aseme naomba utamfikiria cha kumpa kulikoni anajifanya anakopa atarusisha unakuwa na matumaini kumbe moyoni amepanga kudhulumu. Pole sana
 
Huwa tunajifunza kupitia makosa, wewe hijifunza kupitia nini?

nakupata unachomaanisha mkuu but swahiba anaonekana ni muhitaji. kweli kwa sasa.ndo maana nimekuja kwa ushauri ili nipanuke mawazo nini cha kufanya
 
Hakuna kumkopesha huyo tapeli mkubwa alivyokutapeli alifikiri ndio shida zimeisha? Wapo watu wengi sana wa tabia hii ambayo inakera na ni mbaya. Heri mtu aseme naomba utamfikiria cha kumpa kulikoni anajifanya anakopa atarusisha unakuwa na matumaini kumbe moyoni amepanga kudhulumu. Pole sana

umeona mkuu.na jinsi alivyonifanya boya. yaani ananiambia niende kumbe alishasepa
 
Acha uzembe kaka nenda katoe sadaka au kasaidie yatima kuliko kupotez pesa tena kwa mtu ambaye unamfahamu vizuri
 
miaka mi 4 unakumbuka laki 3! Duh hela zisiwatawale hivyo wakuu!
 
Mpe halafu muambie dunia ni kama kijiji ila usimkopeshe kabsaa maana mawazo ya kurudishiwa yatakuumiza
 
Duh poa tu ndo umeamua kuja nijadili huku wakati umenijibu utanicheki bdae poa tu
 
Duh poa tu ndo umeamua kuja nijadili huku wakati umenijibu utanicheki bdae poa tu


we ndo bureeee laki tatu yangu hujarudisha unataka tena zingine we. umeona mi mengi au bakhresa?
 
Back
Top Bottom