MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 9,654
- 13,842
Umeyataka mwenyewe si mnasemaga vijana wasumbubufu na wazee wanajua kuliwaza na kubembeleza. Endelea na huyo mzee wako
correctMaamuzi ni yako....hakuuna anaeweza kukupangia cha kufanya...
muwe mnajifunza kazi kukimbilia vibabu mnaishia mapenzi ya kulambwalambwa kwa umri wako ni critical point ya kuinjoy malavdav sasa kwa huo mpango wako jamaa akigundua anaondoka na shingo yako hatariHuu Mziki upo ht kwa walioolew na vibabu vya kizungu
sijui yy anafikiri atamsaliti mara moja alafu aridhike kumbe kesho na kesho kutwa atataka tena hahaha imekula kwake awe ambasador tu kwa vigori wenzake wanaokimbilia mababu.muwe mnajifunza kazi kukimbilia vibabu mnaishia mapenzi ya kulambwalambwa kwa umri wako ni critical point ya kuinjoy malavdav sasa kwa huo mpango wako jamaa akigundua anaondoka na shingo yako hatari
Umeyataka mwenyewe si mnasemaga vijana wasumbubufu na wazee wanajua kuliwaza na kubembeleza. Endelea na huyo mzee wako
Kwa hiyo una listi ya watu watatu , kwa hiyo unahitaji tukuchagulie katika hao watatu au unahitaji kupata nje ya hao watatu?
Sihitaj kuchaguliwa ila nafikiria kama ntakuwa nakosea ndo nahtaj ushaur
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi
Habari za humu jamani
mimi ni mwanamke nimeolewa miaka 5 imepita hatujafunga ndoa mume wangu ni mtu mzima kidogo ana miaka kama 49 na mm 26 bas nlishawahi kuomba ushauri meing humu na mkanisaidia
kwa sasa tunaishi kwa amani tabia yake ya ufataki sijui anaendeleza au kaacha cjui kwani simu zote ni pin ila ananipitia ofisini kwangu kila siku tunarudi wote!
tofauti iliyopo amekuwa mvivu tunaweza kukaa mwez au hata mwez na nusu bila kunigusa kabisa muda wote yupo bize na muv akirudi nyumbani
nmefikiria najihisi mpweke sana,nahisi nahitaji mtu wa kuniliwaza me ni mrembo sana kuna watu kama wa tatu wanantaka wawe na mimi kila mmoja ana sifa zake nafikiria kumkubalia mmoja wao angalau na mm nijihisi kama wanawake wengne.namis vitu vingi
naombeni ushauri wenu katika haya maamuzi