MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 858
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!
Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.
Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
Tatizo ni hilo domo na sikio la Avatar yako, jinsi lilivyokubwa halioni tabu kutongoza na hiyo misikio ikisikia sauti ya kike inashawishi domo litongoze na ndio sababu ya kuishia kuzini nao hao wadada.