Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Nishaurini jamani, nikitongoza sikosi!

Status
Not open for further replies.
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

Tatizo ni hilo domo na sikio la Avatar yako, jinsi lilivyokubwa halioni tabu kutongoza na hiyo misikio ikisikia sauti ya kike inashawishi domo litongoze na ndio sababu ya kuishia kuzini nao hao wadada.
 
Acha kutongoza utakufa na gonjwa la ukimwi zinaa ni hatari Sana
 
usijone una bahati ndugu kwa kukubaliwa na kila unayemtongoza kwa navojua kukataliwa na mwanamke sio common thing endapo ww umeinvest nguvu zako kwenye upuuzi huo tena ushasema mfuko uko vzur hii inaonyesha ni vp unathamini uchi. you have nothing special to them ila tu ww ni mtumwa wa ngono na hlo latkuharbia na kukufungia milango mbinguni na dunian. UMENIUZ MKUU
Mkuu mzigo wa mwenzio gunia la sufi.
 
Tatizo ni hilo domo na sikio la Avatar yako, jinsi lilivyokubwa halioni tabu kutongoza na hiyo misikio ikisikia sauti ya kike inashawishi domo litongoze na ndio sababu ya kuishia kuzini nao hao wadada.

Hilo domo na sikio kwa kweli badala yake imekuwa kichicheo, nitajitahidi kufanya plastic surgery lakini mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi!
 
Wewe ongeza speed hiyo haitoshi!! tena sasa hamia kwa wake za watu ndo watamu na hawakatai= DEATH!!
 
mkuu is this you??
Mkuu usione watu tuna vaa suti na kendesha magari ya thamani, kumbe tunaficha udhaifu wetu tu.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, wengine ni mafundi wa kuyafunika lakini mimi nimeamua niyaseme maana yatanito roho.
 
Embu mtongoze Lara 1 ukimpata ndo nitajua kweli we nouma.Isijekuwa unatongoza vitoto vya primary halafu unakuja kujisifu hapa.
 
jitaidi kuchagua m1 maana unakoelekea tutakuchimbia kaburi bwanah ww
 
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

Owa wake wanne, watakutosha kukuendesha mbio za kutosha hata hutokumbuka tongozi!
 
Mtani jitoe kwenye pyrol ya buku 7
ukiwa huna kitu hawatakukubali
nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.
 
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

Bwana mdogo machangudoa hayatongozwi, kwa sababu pochi unayo machangu kwako ni nyumbani.....endelea kununua ngwengwe!
 
Mkuu usione watu tuna vaa suti na kendesha magari ya thamani, kumbe tunaficha udhaifu wetu tu.

Binadamu tuna mapungufu mengi tu, wengine ni mafundi wa kuyafunika lakini mimi nimeamua niyaseme maana yatanito roho.

I mean wewe una mpenzi ile seriously ambae uko nae unahisi yeah huyu iko siku

atakuwa wife au wewe still ndo wale kina HIT and RUN!!!!!!!
 
huwa unatumia kinga wakati unatongoza?
mmmh hii imekaaje au ulikuwa unamaanisha anatumia kinga wakati ana do kwenye hiyo sita kwa sita...! Kinga ya Kutongoza ipo?
 
Nina tatizo ambalo ni peculiar!
Tatizo ambalo kwa kweli silipendi na huwa lina nisononesha!

Nina uwezo wa utani mwingi na ucheshi, na vile vile naweza kutongoza bila hata ya kudhamiria.
Pochi kwangiu si shida sana, lakini kinacho nishangaza ni kuwa kila mwanamke mzuri nineye mtongoza hata kwa utani anachangamka sana na tusishia sita kwa sita.

Nasema baada ya hapo huwa nasononeka sana na naishia kujihurumia.
Unanishaurije.

Tongoza Wanafunzi ndipo utakuja pata dawa ya kuacha ukinaswa... na mkono wa kikwete
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom