Reginald Mengi ANENA -MABEGA YAMEWABEBA MSIYAKATE

Reginald Mengi ANENA -MABEGA YAMEWABEBA MSIYAKATE

Hapana, ni ITV ilivyotumiwa na CCM kuwatisha wananchi kuwaonesha mauwaji ya Rwanda ili CCM kwa hofu ya kutokea vita.

Mwakani akigeukia upande wa pili mtatafutana. ITV ndio television ya Taifa.

mkuu ITV ndio yenyewe, yani kwa bongo ndio kila kitu....
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.

mimi kaniudhi sana kwenye mambo flani ya kijamii kanifanyia basi tu uwezo sina ..
 
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani
 
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani

You can do better than this, kina Maulid Kitenge, Abdalla Mwaipaya and likes wanakula na kujamba kutoka kwa mchaga mkristo huyuhuyu.
 
...nakumbuka miaka ya 90s vijana waliokuwa hawana ajira walimwagiwa mapesa na ndugu Mengi; aliwambia waunde vikundi (SIKUVI) vikundi mbalimbali vya maendeleo vya vijana kupitia vikundi hivyo vya SIKUVI walipewa fedha ili kuwawezesha vijana waweze kujiajiri wenyewe na kujikwamua kiuchumi .

"bilasha baadhi ya wadua watakuwa wanakumbuku SIKUVI"
 
Huyu mzee naye mimi siku hizi sitaki hata kumuona tangu alazimishe eti yeye apewe vitaru vya gesi yeye binafsi badala ya watanzania wote nilimtoa thamani kabisa.

acha kukurupuka hukuelewa hoja yake!!!
 
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani

Ni Bora IPP Mkuu Ila Pale Azam Bakhresa Usipokuwa Wa Dini Yetu Kupata Ajira Shidah, Alafu Ndani Ya Kiwanda Kuna Msikiti Wabaguzi Kama Nini
 
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani
...wewe ndiye mdini! nenda OilCom ukaone udini ulivyo..., kupata kazi pale mpaka uwe unaitwa Omari au Mwajuma! "akina John na Joseph hawatakiwi kule!
 
Mlichangia negative mna wivu tu. Huyu ni guru.
 
mkuu ITV ndio yenyewe, yani kwa bongo ndio kila kitu....

Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani

Kwani lazima wafanye kazi kwa Mengi?? Vituo vya habari Tanzania ni vingi sana,Acha kubwajabwaja maneno kama mbumbumbu
 
Mabega akina zitto waliowainua kina mbowe hd chama kutajika na kuwa maarufu.
 
Ni Bora IPP Mkuu Ila Pale Azam Bakhresa Usipokuwa Wa Dini Yetu Kupata Ajira Shidah, Alafu Ndani Ya Kiwanda Kuna Msikiti Wabaguzi Kama Nini

Na ndio maana huwa situmii bidhaa za Azam. Ni lazima watakuwa wanazifanyia vile vi uchawi uchawi vyao vya kidini
 
Back
Top Bottom