M4C-OPD: Dr. Slaa atikisa Makambako

M4C-OPD: Dr. Slaa atikisa Makambako

tunashukuru sana kwa habari hii , tutahakikisha magamba yote yanababuka yenyewe !
 
Hali ya hewa mbaya lakini this guys are not afraid to fligh their chopperz,,,,,,,,,

kweli ukiona hard things done even in strange situation understand that something new is coming,,



freeeeeeeeedooommmmmmmmmmmmmmmmmmm
 
unatumia makamasi wewe kufikiri si bure

Kwenu mnamiliki chopa/ ndege nini, hapa mjini kwetu hatuna hata kiwanja cha ndege wala hamna watu wanao miliki chopa, ikitokea chopa kila mtu macho juu na kuikimbilia, na wengine hadi wanagongana 7bu wakati wanaikimbilia chopa wanakuwa wameangalia juu, hongereni nyie mnao miliki chopa/ndege maana hamshangai kama sisi huku.
 
naona watu wako bize kushangaa chopa. du!

mkuu uwanja ulikuwa hauna watu kabisa.chopa ilivyotokea tu watoto na wapiga debe wakaanza kushangilia chopaa..chopaa..chopaaa uwanja ukajaa ghafla ha ha ha hiyo ni makambako na njombe leo..maana hakuna uwanja wa ndege..hata ndege kuiona angani ni nadra sana...!
 
Wadau ni vizuri siku nyingine muwe mnatuwekea na audio japo hata ya nusu saa tu, na sisi tulio mbali tupate ''flaviour''
 
Kweli we abunuas....akl kdogo nguv nying...target ni watu wackie ufedhuli wa srkl dhaifu ya ccm na vibaraka uchwara ka we we!!!
nashukuru umekubali kuwa wengi wamekuja kushangaa chopa ili muonekane mnapendwa. keep going.....
 
mkuu uwanja ulikuwa hauna watu kabisa.chopa ilivyotokea tu watoto na wapiga debe wakaanza kushangilia chopaa..chopaa..chopaaa uwanja ukajaa ghafla ha ha ha hiyo ni makambako na njombe leo..maana hakuna uwanja wa ndege..hata ndege kuiona angani ni nadra sana...!
hata ningekuwa mimi ningeenda kushangaa chopa. ila kura yangu ni suala lingine kabisa.
 
Kwenu mnamiliki chopa/ ndege nini, hapa mjini kwetu hatuna hata kiwanja cha ndege wala hamna watu wanao miliki chopa, ikitokea chopa kila mtu macho juu na kuikimbilia, na wengine hadi wanagongana 7bu wakati wanaikimbilia chopa wanakuwa wameangalia juu, hongereni nyie mnao miliki chopa/ndege maana hamshangai kama sisi huku.

umejiona umeandika vitu vya maana!!!!????? kumbe uharo mtupu!!!!
 
Back
Top Bottom