Nyerere, Mroman Catholic, Rais wa Kwanza wa Tanzania, alipotambua kujitenga kwa wa Ibo, Waroman Catholic wa Biafra ya Nigeria hiyo hiyo, huku akitaka muungano wa Afrika, alikuwa shujaa.
Gadhafi, Muislamu, Rais wa kudumu wa Libya, anapotaka kujitenga kwa Waislamu na Wakristo wa Nigeria, huku...