Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli ndivyo ilivyoKila binadamu ana haki ya kutaka uongozi katika jamii yake, ingawa ni kweli itafanana na ufalme na kuonyesha kwamba nje ya familia ya Karume thinkers wa level ya rais hawapatikani. Yeye kama Karume (Ally) hana kosa katika hili tutakachoona kwamba ni kituko ni pale ambapo CCM watampitisha.kama mgombea.
Hapana sasa inakuwa kam vile ilivyokuwa Marekani mkuu, inatupsa kuchagua watu wengine mkuu wangu,lakini si anagombea kupitia chama chenu?
Hata sishangai ni uhuru wa maoni ndo unakuongoza!Kwa hakika Ali Abeid Amani Karume, bila ya kujali jina lake, anayo haki ya msingi ya kikatiba, kugombea nafasi yoyote katika nchi yake ya Tanzania kama alivyo na haki ya kupiga kura na kumchagua kiongozi yeyote anayemtaka. Ni unyanyashaji na ubaguzi wa hali ya juu sana kumnyima haki yake hiyo.
Kama wananchi wataona kuwa hafai kwa sababu moja au nyingine basi wasimpe kura zao wakati wa kura za maoni au za uchaguzi rasmi wenyewe. Mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.
sisi wazanzibari tunaona anafaa.na kwakweli hakuna mwingine zaidi yakeKwa hakika Ali Abeid Amani Karume, bila ya kujali jina lake, anayo haki ya msingi ya kikatiba, kugombea nafasi yoyote katika nchi yake ya Tanzania kama alivyo na haki ya kupiga kura na kumchagua kiongozi yeyote anayemtaka. Ni unyanyashaji na ubaguzi wa hali ya juu sana kumnyima haki yake hiyo.
Kama wananchi wataona kuwa hafai kwa sababu moja au nyingine basi wasimpe kura zao wakati wa kura za maoni au za uchaguzi rasmi wenyewe. Mnyonge mnyongeni na haki yake mpeni.
He jamani tumewachoka kabisaaaaaaaa.
You/we?We are tired with Karume's katika urais Zanzibar