Ni kweli kabisa mkuu,watu wengine humu wanaandika ilibwaonekane ila kichwani wana akili za kuku,hawafikiri kabisaa.
Wanamgambo wakutoe kamasi?
Israel si lolote si chochote.
Ni ajabu kwamba anayepigania uhuru wa nchi yake na haki ya wananchi wake anaitwa gaidi!!!
Nchi za magharibi zimefaulu sana kuwahadaa watu kwamba maadui wao ni magaidi,na ww ni mmoja wao.
Mimi siku zoye huwa nashangaa sana sisi Watanzania tunataka tuongozwe na nani. Tatizo la nchi hii ni sisi Watanzania wenyewe. Siyo la Mh. Samia, Mh.Magufuli au Mh. Kikwete.
Kinachotusumbua sisi ni WOGA.Tunataka maisha mazuri lkn hatuko tayari kuyapigania. Na wenye nchi wameshatujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.