Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 10,703
- 11,809
Mkuu ongeza IQ kidogo utajua nimemaanisha mini. Mimi nimemwongeza maili moja au kumgeuzia shavu la pili mleta post niliemjibu ili aendelee kuamini upuuzi wake. Siungi mkono huo ufilauni wao. Soma majibu yangu yote hapo juu.Tumia akili na sio kuropoka kama Mjane,watu wanawalaumu hao mabwana zako kwa kuua wanawake na watoto.