Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania. 1995 alimwachia Mkapa, 2005 akaingia mwenyewe na 2015 akatuletea Shujaa Magufuli na Samia

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415
Huo ndio ukweli kama hutaki acha sikulazimishi

Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere

Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa

2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema

Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli

Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete
 
Huu ukweli utakuja kupingwa humu na watu wenye chuki na JK.

2015 EL na ujanja wake wote pamoja na swaiba wake RA walinyoosha mikono.

2005 pale Chimwaga BWM na utemi wake wote alitulizwa alipotaka SAS achukue kijiti.

1995 when he was young boy, but brought up and mentored by JKN, he was almost to turn the table. But Mzee JKN with his wisdom cool down the Young boy but he was also scared with that power from saigon boy.
 
Huu ukweli utakuja kupingwa humu na watu wenye chuki na JK.

2015 EL na ujanja wake wote pamoja na swaiba wake RA walinyoosha mikono...
Unapozungumzia JK wa kwanzia 1995 huwezi ukaacha kuwa taja wanasiasa ambao walikuwa maswahiba wake na walikuwa wapo nyuma yake...

Mtu kama Edward lowasa, marehemu sitta, RA na wengine kibao ambao miaka Ile waliform group kwene siasa lilojulikana kama boys 2 men.

Hawa jamaa walikuwa na mtandao hatari Sana kwa wakati huo kwene siasa za ujanani mwao
 
Huyu muuaji, mporaji na mtekaji mkimtaja mnaleta simanzi kwa wajane na vilema waliopatikana kupitia udikteta wake.

Muuaji anawezaje kumuacha Hai kichaa kama wewe. Usingekuwepo. Mngekuwa pamoja. Ila mkuu wewe ndo unakivhaa.
 
Back
Top Bottom