johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Huo ndio ukweli kama hutaki acha sikulazimishi
Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere
Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa
2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema
Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete
Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere
Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa
2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema
Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete